THERE has been a misunderstanding on the dispute involving Independent Power Tanzania Limited (IPTL) and the money, which was deposited in the escrow account at the Bank of Tanzania (BoT). FAUSTINE KAPAMA, interviewed on Friday 17th October 2014 at the SOPA Lodge Ngorongoro one of the lawyers...
THERE has been a misunderstanding on the dispute involving Independent Power Tanzania Limited (IPTL) and the money, which was deposited in the escrow account at the Bank of Tanzania (BoT). FAUSTINE KAPAMA, interviewed on Friday 17th October 2014 at the SOPA Lodge Ngorongoro one of the lawyers...
THERE has been a misunderstanding on the dispute involving Independent Power Tanzania Limited (IPTL) and the money, which was deposited in the escrow account at the Bank of Tanzania (BoT). FAUSTINE KAPAMA, interviewed on Friday 17th October 2014 at the SOPA Lodge Ngorongoro one of the lawyers...
Mbona mnatuchanganya? upi ukweli kati ya hii ya kwako na kilichoandikwa leo, Jambo Leo ya Sept 21.
Hebu kasome hiyo taarifa ya ndani ya IPTL then urudi utwambie ukweli ni upi. Inawezekana watu wengi wanaleta habari hapa JF bila kufanya findings alimradi kasikia washikaji zake kijiweni wanapena...
Nyamizi, Na wewe boss wako anayekutuma katika janvi hili ni nani? usiingilie uhuru wangu wa kutoa mawazo yangu, na wewe toa ya kwako. Hiyo ndio Democrasia.
mmmh Sidhan kama Prof. Tibaijuka anahusika sana na ufisadi huo zaidi ya anavohusika na Katiba ya nchi yetu? mbali na hilo, huyu Prof. Tibaijuka sio mtu wa kuongea ongea hovyo hovyo,,,,, huwa anaitwa sana sana mambo yanapokaa vibaya sana. Huwezi jua huenda keshatoa ushauri kwa wahusika wakubwa wa...
Elly B, nilifuatilia mdahalo LIVE. Mchango wa Prof. Tibaijuka kweli uliteka ukumbi Wakamsikiliza. Sikuskia akizungumza mambo ya ardhi. Alisisitiza historia ya democrasia na utamaduni wake wa "kuzungumza na kuzungumza hadi kieleweke". Akatetea haki za wanawake. Akawasihi UKAWA warudi bungeni...
Unasema mama Tibaijuka ni muathirika? Hebu tupe habari. Ana CD Count ngapi?
Wanaofanya naye kazi wanalalamika hachoki, huwezi kumuona kasinzia kwenye kiti, hali lunch, na ati huwa anadai kama wewe ni kijana mkikimbia atakuacha nyuma. Kama kuathirika ndio huku basi awe Rais. Acha kunyanyapaa...
na wewe upo kundi gani? la waliokubali mazungumzo au waliokataa mazungumzo au uko kundi la tatu la wasiotaka mgogoro uishe ili waendelee kulipwa na kuwachafua waliofanikisha kutatua mgogoro
Rais Kikwete kweli aliyaona. Mama Tibaijuka ni jembe!
1. Eneo la nyongeza baharini tayari analidai, Kimataifa.
2. Mji mpya wa Kigamboni unapiga hatua, hata Mh. Ndugulile kasalimu amri. Juzi nilimuona kwenye Luninga, wako pamoja
3. Sasa mgogoro sugu wa Wazo Hill Chasimba nao ndo...
Ndug Ericus Kimasha, ushauri wako ni mzuri. Kimsingi nakubaliana nao katika dunia ya wastaarabu. lakini hapa janvini ustaarabu ni haba. Hapa mambo ni jicho kwa jicho, jino kwa jino. Online Reputation Management pia inategemea uelewa wa mtiririko wa Online Negative propaganda. kwa mfano; tayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.