Recent content by JANAURY JORDAN

  1. J

    JamiiForums Tanzania MWANZA: SHULE IMEPATA SH; 647,00 KWA WANAFUNZI 1,690, SAWA NA SH 390 KWA KILA MWANAFUNZI

    MWANZA Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Ibanda iliyopo Kata ya Mkorani jijini Mwanza, Bahati Parapara, alisema ruzuku iliyotolewa na Serikali kwa ajili ya elimu bure haikidhi mahitaji. Alisema Desemba 30 mwaka jana alipokea Sh 647,000 na watoto walioandikishwa shule ya awali ni 210, darasa la...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Mwanajeshi amkata vipande vipande mkewe

    Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia Jumatatu, wiki hii, katika eneo la Kwa Mpenda, Kata ya Kivule, Chanika wilayani Ilala. Shuhuda wa tukio hilo ambaye ni mpangaji wa nyumba ya mtuhumiwa, Hellena Musa, aliiambia Nipashe kuwa wanandia hao walianza kugombana saa 5:45 usiku. Alisema Mahende...
  3. J

    JamiiForums Tanzania David Kafulila na kesi mpya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma…

    Taarifa ninayokusogezea ni ya David Kafulila aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kusini, tunafahamu ana kesi Mahakamani ya kupinga matokeo ya ubunge 2015 jimbo la Kigoma Kusini kesi ipo Mahakama Kuu Kanda ya Tabora, taarifa ikufikie kuwa Kafulila baada ya kufika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kigoma akasomewa...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Elimu bure hakuna, Serikali imekurupuka

    kaka umeeleweka pesa kiukweli haitoshi ndiyo maana hata ukiangalia kwenye michango ya chakula na pesa za wapishi, kununa mafuta, kuni, majia, chumvi na vingine shule nyingi zimweongoze sana gharama hiyo ukilinganisha na miaka mingine hivy lengo wanataka kufidia kwakua pesa hyo haitoshi
Back
Top Bottom