Recent content by janaleonahatakesho

  1. janaleonahatakesho

    Habari kutoka Uganda zinasema kuwa Yanga wamefikia dau la $200000 na mshahara wa $12000 kwa ajili ya kumsajili Manzoki

    Wanaziba mbele wakati nyuma kuna matobo sijui akili ya wapi hii ngoja tuone mwisho wa msimu
  2. janaleonahatakesho

    Je, mimi ndio mzembe au binti ndio kazingua?

    Mwanamke havutii vipi wakati amejinasibu kuwa ni pisi kali! Ok mfano hamvutii si angevuta hata taswira ya Beyonce akung'ute fuko atembee jamaa kazingua au kuna kitu kimejificha hakuna mbususu ikaachwa kizembe hivyo tena mida ya wanga
  3. janaleonahatakesho

    Je, mimi ndio mzembe au binti ndio kazingua?

    Hoja dhaifu sana hizo kiongozi heshima kwa mwanaume haiji kwa kumnunulia mwanamke pombe na misosi tu bali na kuonyesha ulichobarikiwa na mungu kwenye maungo yake.
  4. janaleonahatakesho

    Je, mimi ndio mzembe au binti ndio kazingua?

    Nadra sana jamaa kazingua nahisi pisi ilikuwa imesimama kisawasawa akapigwa na bumbuwazi ambalo lilipelekea kukata Moto nihisivyo hata wakati wa hyo romance jamaa akili yake ilikuwa inawaza kweli pisi kali Leo ipo on bed??? Akasahau jukumu namba moja la mwanaume awapo na duu
  5. janaleonahatakesho

    Nini kifanyike ili mtoto aliyelatiwa asipate madhara ukubwani?

    Huyo aliyemlawiti mmeshamtia nguvuni au!
  6. janaleonahatakesho

    Viongozi wa Simba anzieni hapa: Inonga aliuza mechi

    We ndo unaujua mpira hayo mengine ni makelele tu
  7. janaleonahatakesho

    Nimefika jiji la Kampala, nilitoka Dar es Salaam saa 11 asubuhi

    Umejiandaa kwa majibu mkuu wangu [emoji2][emoji2]
  8. janaleonahatakesho

    Kundi Hili la Watumishi wa Umma lina Upeo Mdogo? Nini kifanyike?

    Vipi ushapata ajira au bado tamisemi hawajakuona?
  9. janaleonahatakesho

    Kundi Hili la Watumishi wa Umma lina Upeo Mdogo? Nini kifanyike?

    Hapa hujata walimu kijana inaelekea baba yako ambaye ni Mwalimu baada ya kupigilia msumari wa nchi sita kunako....halafu akamkacha maza ako so baada ya kukua ikabidi maza ako akwambie kuwa ww ni product ya Mwalimu lakin kwa bahati nzuri Mwalimu akakukataa ungali na miezi 2 so hasira yako yote...
  10. janaleonahatakesho

    Mshahara Julai 2022

    Hujui kwamba baba yako ni Mwalimu ukilijua hilo hautaweza kuandika ulichokiandika
  11. janaleonahatakesho

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Hahahaaaaa kwamba mavi yapo kichwani sio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  12. janaleonahatakesho

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Kongole mwamba tupo pamoja tupen mavitu tunayopenda kuyasikia
Back
Top Bottom