Nawashukuru sana watu wawili Mbowe na Lissu.
Hawa wawili wamenifumbua macho,sikuwahi kufikiria kama hivi vyama vya upinzani havina tofauti yoyote na CCM,hawa CHAUMMA vyeo nawachukia kuliko Shetani.
Hatimaye CHADEMA wamepata chama cha upinzani, hawa Wafuasi watiifu a k a nyumbu wa Mwenyekiti ni watu hatari kuliko hata CCM yenyewe,wamecheza na akili zetu miaka kibao nasi tukaamini ni Wapinzani kweli.
Sio ku wareject ila nataka kuongeza idadi niwe na watoto wenye akili mchanganyiko, Babu zetu walikuwa wanaoa mpaka wake 10 halafu unakuta kila mwanamke huyu watoto wake wote ni walevi, mwingine watoto wake wote wamesoma, mwingine kazaa wezi nk
Ukipata neema hutakiwi kuipigania kwasababu tu ilikuja pasipo kuitafuta? Huyu Mungu ni wako peke yako kwamba wewe uendelee kusubiri kupewa kinachogombaniwa na wenzako?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.