Iko siku tutapigwa marufuku hata kuoa/kuolewa na wageni, kwasababu ya huu wanaouita uzalendo.
Nasamaje Yanga wapigwe hata dazani,mimi sio Mzalendo hata ingekuwa taifa Stars ningesema hivyo hivyo wapigwe tu
Nilikuwa naye mmoja mumewe mtu wa masafa marefu,Jamaa akipiga simu, ananiambia tulia kwanza niongee na huyu Fala,hapo kaikalia.
Namshukuru Mungu niko salama,na staki tena Mke wa mtu.
[emoji24][emoji24][emoji24] Kuna ndugu yangu mwanaye ana miaka miwili sasa,anapewa matumaini tu Hooo mwanao akifikisha miaka mitatu au minne ataongea,wako ana miaka sita na haongei,Madaktari wanasemaje Mkuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.