Recent content by Jaminati

  1. J

    PGO mwiba kwa maafisa wa Jeshi la Polisi, wanafanya kazi kwa taratibu zipi?

    Ni aibu kutofaham kifaa kinachowaongoz ktk utendaji kazi zo wanakula kodi zetu bure ni wakati ss jeshi la polis nianze kuajili polis wenye ufaulu mzuri
  2. J

    IGP Sirro alituahidi kumkamata Mange Kimambi kwa udi na uvumba, leo hii tunamuona akipiga picha na Rais wa JMT. Ndio kusema hakuikosea Jamhuri?

    Hii y Hii ya mange kupiga picha na mh haipo sawa maana alimutukana san jpm nadhani jinai haifutiki
  3. J

    Shaka na amsha amsha ya CCM mashinani

    Kapuku ni ww ndug yangu unayeshinda una sifu na kuabudi upate buk 7 huk wenzio wenye chama cha kijan wakihishi maisha kifahar shutka dogo utakufa maskini
  4. J

    Jinsi wakili msomi Dickson Matata alivyompeleka puta mtoto wa IGP Mahita

    H Hv kweli unawez kusimamia kumushuhudia uongo mtz mwenzako ili ss upate nn? Hakika tungekuw tunaishi milele dunian tungetesana sana lkn tunapita tu
  5. J

    Shaka na amsha amsha ya CCM mashinani

    Mm sihishi kwa mshahara hapa dunian mm ni mtu Tajiri na natoka kwenye familia bora sio kama wale ambao kula kwao na kuendesha maisha yao hapa dunian wanategemea chama cha kijan wakisikia watu wanadai katiba mpya wanachanganyikiwa
  6. J

    Shaka na amsha amsha ya CCM mashinani

    Kama wanaamini kweli wanakubalika CCM bac tupate katiba mpya na tume huru ya uchaguzi mm nadhani ccm haipo tena kimebaki kikundi fulani cha watu wanalinda maslai binafsi kwa kutumia plc ndo maana hawatk wengine wafanye siasa
  7. J

    Shaka Hamdu Shaka aisifu mahakama ya Tanzania kesi ya Freeman Mbowe

    Uwepo wa katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ndo mwisho wa ccm hilo mnalijua nadhani katiba mpya haiepukiki
  8. J

    Rais Samia: Wameanza kuandika kwenye vigazeti kwamba sitasimama 2025, nani kawaambia?

    kiti cha urais hakika ni kitamu sana lkn kuendeleea kuwa na ccm madarakani mpk 2030 litakuwa kosa kubwa tutarajie zaidi kuongezeka kwa tozo kila mahali
  9. J

    Spika Ndugai ahoji shughuli za Serikali kurudi Dar, ataka kujua ni nani anayedhibiti matumizi ya Serikali kwa sasa

    Na yy atuambie ni sheria gan inayowatambua wale wabunge 19 wanaondelea kutafuna kodi zetu wakati walishatimuliwa kwenye chama chao
  10. J

    CHADEMA: Matamanio ya IGP Sirro anayosema amejifunza Rwanda kuhusu Polisi kuingia Misikitini na Makanisani na kuandaa mitaala ni kinyume na Katiba

    Mtu anayevunja katiba na sheria za nchi kwa makusudi hafai ni lazima kutangaza mgogoro nae hamna namna
  11. J

    Tetesi: Ni kweli Ndugulile na Kalemani wameondolewa kwa ushawishi wa matajiri?

    Alafu anawarudisha wale walofeli kipindi cha nyuma hakika tusipoamuka watz tutaendelea kuwa masikini daima
  12. J

    Hayati Dkt. Magufuli aliletwa duniani mahsusi na Mungu ili kuleta masomo fulani tujifunze

    Jamaaa alikuwa mbinafsi sana na roho mbaya sana wenzio aliwafungia akaounti zao za mshahara mfano mbowe ila yy aliendelee kupokea mshahara kwa jasho letu watz
  13. J

    January Makamba, very intelligent, humble, down-to-earth! Can make the best President

    Hafai hata kidogo kwanza sio muumini wa siasa za ushindani tunajua alipita bila kupingwa jimbon kwake huyu anabebwa na ccm kwa sababu baba yake ni kada wa ccm lkn ktk uwanja sawa wa kisiasa kwa kuwepo katiba mpya na tume huru ya uchaguz hawez shinda
Back
Top Bottom