Recent content by jamii01

  1. jamii01

    Kama hujajiandaa kuingia kwenye ndoa usiingiee kabisa

    Kwa uzoefu wangu wa ndoa miaka 15 sasa ,sishauri kijana kuoa nikutafutiana magojwa bure,ndio maana wanaume wanakufa mapema kabla ya wanawake kwenye ndoa..Tazama wajane jinsi walivyowengi. Njia sahii ni kuwa mpenzi wake mwanche aishi kivyake na na wewe kivyake na kila mtu ampe mwenzake uhuru...
  2. jamii01

    Natabiri Dkt. Nchimbi kutenguliwa nafasi yake kabla ya 2025

    Upepo unasoma kwa Henry James kuwa mwenezi miezi michache ijayo au Makonda kurudi kwenye hiyo nafasi. hawa wazee wangepumzika tu..
  3. jamii01

    Ndugu Amos Makalla na ndugu Nchimbi hamna mvuto mmepoa sana wananchi hawawaelewi

    Watakuja kuanza kulalamila wanadhiakiwa kwenye mitandao..wache kufanya ziara kwa sababu hawana mvuto kwenye mikutano yao. Wafanye kwenye Media wakimaliza wakalale na wake zao. Wazee kama hao hata bodaboda hajui kuendesha unafkiri atamwamasisha vipi hata bada boda wa mataani.
  4. jamii01

    Tetesi: Kumbe Nchimbi aligoma kuambatana kwenye ziara na Makonda?

    Chama hakina mvuto tena nafasi ya mwenezi imekwisha pwaya mapema sana..CCM inahitaji mtu makini sana kwenye uendezi design ya Makonda au Polepole mwenye uwezo mkubwa wa kuzungumza na kuvuta hisia za wapiga kura. Hawa wazee wangepumzika wakaanza kula hela walizohiba kwenye Taifa hili kabla...
  5. jamii01

    Rais Samia kufanya ziara ya kikazi ya Siku Tano Nchini Uturuki kuanzia Tarehe 17-21 Mwezi huu

    Mama alikuwa likizo ya Ramadhani kwa sasa imekwisha mwendo wa kutalii ila mwambie asisahau kutembelea Iran pia.
  6. jamii01

    Serikali kujenga uwanja wa mpira Arusha wa kuchukua watu 30,000 ni kukosa maono

    Population ya Arusha ni ndogo sana kulinganisha na Mwanza,kama Serikali wangetaka kujenga uwanja na kisha baadaye uanze kuingiza mapato ni Mwanza hata sijui wamefikilia nini,naamin baada ya hayo mashindano kuisha uwanja wa Arusha utakuwa useless na watakuja kutudanganya kwenye media maana bado...
  7. jamii01

    BoT waruhusuni/wapeni muongozo Benki kuongeza kiwango cha kutoa pesa ATM

    ATM iwe na uwezo wa kutoa Mil.1 kwa wakati mmoja na mil.10 kwa siku na makato ya ATM yapunguzwe ..
  8. jamii01

    Nifanye biashara gani. Ushauri wenu unahitajika

    Fungua depot ya Vinywaji Vikali uza kwa jumla baada ya Mwaka mmoja njoo utoe ushuhuda hapa..
  9. jamii01

    Nimenunua umeme wa elfu 5 nimepata units 9.8

    Mimi nimenunua umeme wa 3,000 nikapewa unit 2.
  10. jamii01

    Kwanini hakuna usawa Ujenzi wa Majengo ya Shule, Kati ya Tanganyika na Zanzibar?

    sionagi maana ya huu mungano..kuwe na serikali moja kwisha habari au serikali 3 kila pande zipambane na khali zake
  11. jamii01

    NEMC iangazieni kwa Tunza lodge Mwanza haraka (noise pollution)

    unamchukuliaje hatua wakati haujamsaidia mtu kufanya uwekezaji? au unadhani ni grocery hiyo? uwekezaji kama ule serikali inaulinda kuliko unavyofikiri..
  12. jamii01

    NEMC iangazieni kwa Tunza lodge Mwanza haraka (noise pollution)

    Umeambiwa kama hautaki kelele nenda kaishi Dodoma..Miji ya Dar es salaam na Mwanza ni Miji ya biashara. Kwa kukumbusha tu agizo na mkuu wa mkoa wa Mwanza NEMC hairusiwi kufunga biashara ya bar Kwa sababu ya kelele. Zaidi hapo kuanzia tarehe 01.07.2023 hakuna taasisi yoyote ya serikali...
  13. jamii01

    NEMC yaitoza Lake Oil faini ya bilioni 3.3 kwa kutozingatia utunzaji wa mazingira

    Wametoka kwenye bar ameamia kwenye petrol station
Back
Top Bottom