The System Administrator will be responsible for the day-to-day management, support and maintenance of the company’s IT infrastructure. This role involves ensuring that servers, systems and related infrastructure run efficiently and securely to support business objectives.
The ideal candidate...
Pesa zinazotumika ni za walipa kodi watupe mrejesho faida ya yeye kushinda au kishindwa WHO au isije kuwa ya Odinga
Binafsi nimemjua Janabi baada JPM kurest in Peace.
Kama wanampenda sana wampe uwaziri
Qualification and experience.
-Holder of a Bachelor degree in Project Management, Investment, Business, or any related field. or equivalent.
-Demonstrated knowledge in Computer Application is a MUST
-Demonstrated knowledge in Land Laws is an added advantage
-Must be fluent in both English and...
Mkuu pole sana..wapo wanaopitia magumu katika ndoa zao kuliko wewe..Muhimu mwachie vyote anza maisha upya.
Wanawake huwa wanabadirika sana na si watu wa kuwamini hata kidogo hadi huwa najiuliza ndio huyu niliyekuwa natoka jasho kwa ajili yake au ni Mwingine?
Changamoto pia sheria zetu za ndoa...
Huku Rais akienda korea,Serikali itoe ufafanuzi kwa nini watanzania wananyimwa Visa ubalozi wa korea.mfano Mtanzania anayetaka kwenda Korea kwa safari ya biashara inatakiwa hawe na kiasi kisichopungua mil.100,000 Tsh. badala ya $10,000 iliyokuwa ikitakiwa hapo awali.
Mtanzania anayeta kwenda...
Hapo Makonda ndio unapowaumiza viongozi wenzie..kuna mikoa ya Dar es salaam na Mwanza kuna changamoto kibao lakini viongozi wapo tu kuzunguka na magari na Ving'ora.
Wamemzima kwenye Uenezi ameibukia Arusha..Media zote ziko Arusha kwa Makonda.
Kwa uzoefu wangu wa ndoa miaka 15 sasa ,sishauri kijana kuoa nikutafutiana magojwa bure,ndio maana wanaume wanakufa mapema kabla ya wanawake kwenye ndoa..Tazama wajane jinsi walivyowengi.
Njia sahii ni kuwa mpenzi wake mwanche aishi kivyake na na wewe kivyake na kila mtu ampe mwenzake uhuru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.