Kwa uzoefu wangu wa ndoa miaka 15 sasa ,sishauri kijana kuoa nikutafutiana magojwa bure,ndio maana wanaume wanakufa mapema kabla ya wanawake kwenye ndoa..Tazama wajane jinsi walivyowengi.
Njia sahii ni kuwa mpenzi wake mwanche aishi kivyake na na wewe kivyake na kila mtu ampe mwenzake uhuru...
Watakuja kuanza kulalamila wanadhiakiwa kwenye mitandao..wache kufanya ziara kwa sababu hawana mvuto kwenye mikutano yao.
Wafanye kwenye Media wakimaliza wakalale na wake zao.
Wazee kama hao hata bodaboda hajui kuendesha unafkiri atamwamasisha vipi hata bada boda wa mataani.
Chama hakina mvuto tena nafasi ya mwenezi imekwisha pwaya mapema sana..CCM inahitaji mtu makini sana kwenye uendezi design ya Makonda au Polepole mwenye uwezo mkubwa wa kuzungumza na kuvuta hisia za wapiga kura.
Hawa wazee wangepumzika wakaanza kula hela walizohiba kwenye Taifa hili kabla...
Population ya Arusha ni ndogo sana kulinganisha na Mwanza,kama Serikali wangetaka kujenga uwanja na kisha baadaye uanze kuingiza mapato ni Mwanza hata sijui wamefikilia nini,naamin baada ya hayo mashindano kuisha uwanja wa Arusha utakuwa useless na watakuja kutudanganya kwenye media maana bado...
unamchukuliaje hatua wakati haujamsaidia mtu kufanya uwekezaji? au unadhani ni grocery hiyo?
uwekezaji kama ule serikali inaulinda kuliko unavyofikiri..
Umeambiwa kama hautaki kelele nenda kaishi Dodoma..Miji ya Dar es salaam na Mwanza ni Miji ya biashara.
Kwa kukumbusha tu agizo na mkuu wa mkoa wa Mwanza NEMC hairusiwi kufunga biashara ya bar Kwa sababu ya kelele.
Zaidi hapo kuanzia tarehe 01.07.2023 hakuna taasisi yoyote ya serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.