Recent content by Jameson-journalist

  1. Jameson-journalist

    JamiiForums Tanzania Uzinduzi wa sheria na kanuni za virutubishi katika vyakula na madini

    Nimeona nimebadili asante sana
  2. Jameson-journalist

    JamiiForums Tanzania Uzinduzi wa sheria na kanuni za virutubishi katika vyakula na madini

    Naibu Waziri Wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe amezindua sheria na kanuni za urutubishaji wa chakula ya mwaka 2024 ambao umefanyika katika ukumbi wa chandamali manispaa ya songea. Katika uzinduzi huo umelenga kuongeza virutubisho muhimu kwa kuimarisha afya na kupunguza...
  3. Jameson-journalist

    JamiiForums Tanzania Wimbi la Vijana kutumia Pombe kwa njia ya haja kubwa, haiwezi chochea Ushoga?

    Mambo ya kuletewa haya 😃 bila kutumia akili kizazi kitakuwa cha ovyo kwa kujaribu jaribu mambo😃 hii kali
  4. Jameson-journalist

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ndiye Profesa halisi wa Demokrasia na Utawala Bora Afrika

    Tuzidi kumuombea Rais Wetu tufike nchi ya Ahadi Gap la wenye nacho ma wasio nacho bado ni kubwa sana🙏🏾🙏🏾🙏🏾
  5. Jameson-journalist

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya Kusitisha huduma za Athuman Kapuya Foundation

    Ata waarabu mi naona mashoga wale pia kule kina sehemu wanakuja wazingu forozan huko ile hali ya ku interact nayo ni chanzo
  6. Jameson-journalist

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya Kusitisha huduma za Athuman Kapuya Foundation

    Kupenda kupewa vya bure na watu wa njee ni kuonyesha ni umaskini na pia chochote unaweza pewa ili chamsingi ni kupambana na tulichonacho tusaidiane wenyewe misaada ya nje ina conditions nyingi na hao hawawezi toa msaada bila kunufaika au kutaka kitu fulani na hapo ni kutaka kuaribu kizazi chetu...
  7. Jameson-journalist

    JamiiForums Tanzania Maswali kuhusu ukatili wa kijinsia Iringa

    Ukilinganisha zamani na sasa utaona Iringa matukio mbali mbali yameongezeka ya ukatili dhidi ya watoto wanawake na wanaume pia ukifuatilia utakuta mwaka 2023 desember, 7 Mkuu wa mkoa wakati huo aliweka kuwa ajenda ya kudumu ili kuweza kutatua tatizo hilo. Sasa, Kwa upande wangu nilitaka tu...
  8. Jameson-journalist

    JamiiForums Tanzania Maswali kuhusu ukatili wa kijinsia Iringa

    Takwimu zimeonyesha iringa imeongezeka kwa kiasi ukatili wa kinsia. Ni sabubu gani zinohisiwa kuchochochea ukatili wa kijinsi? Nini kufanyike ili kupunguza ama kutokomeza ukatili wa kijinisia? Maoni ilikupunguza ukatili wa kijinsia?
  9. Jameson-journalist

    JamiiForums Tanzania KERO Iringa mjini baadhi ya Adhana za misikiti zimezidi kelele, sauti iwe ya chini isiwe kero

    Uzoee iyo kelele inatukumbusha Mungu yupo👍🏾✌️✌️✌️
  10. Jameson-journalist

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wengi humu hawana pesa wala michongo ya kueleweka

    Je unajisi hela ndio suluhisho la jambo hilo hela ni manukato tyu ndugu cha msingi ni kufanya kazi ila mambo mengine tumuachie Allah
  11. Jameson-journalist

    JamiiForums Tanzania Unajua athari na jinsi ya kujiepusha na matumizi ya Bangi?

    Unahisi inabidi liwaje
Back
Top Bottom