Recent content by jamesmalwa

  1. jamesmalwa

    Mafunzo ya trade policy analysis tools

    Kuna chuo au mtu yeyote anayehitaji kujua jinsi ya kufanya Analysis ya trade policy kwa kutumia tools zifuatazo? au je unahitaji msaada wa kufanyiwa data analysis kwa kutumia tools zifuatazo: SMART: it allows analysis of the impact of unilateral, preferential and multilateral trade reforms...
  2. jamesmalwa

    Natafuta mke wa kuishi naye

    Nduguyo akiwa serious halafu akasikia kuna mtu anatafuta mchumba au mke wa kuoa halafu akakuunganishia ina maana wewe unakuwa ni malaya? maana umeunganishiwa na hatimaye ukaomba jamaa akuone mwenyewe mzungume swali langu ni je wewe ni malaya kwakuwa uliambiwa fulani ahitaji mke wa kuoa na badaye...
  3. jamesmalwa

    Natafuta mke wa kuishi naye

    Tuache habari ya kuja jwa gia kubwa, hiyo ndo hali halisi sitaki kuwa muongo, wala kusema kile ambacho sitakubaliana nacho. naomba nikufahamu dada yangu usiwe na shaka uwe muwazi tu kwangu niko tayari kukusikiliza, habari ya dnoa njema haijengwi kwa vyeo nimekubaliana na wewe mia kwa mia naomba...
  4. jamesmalwa

    Natafuta mke wa kuishi naye

    Hapana dada bado unaweza kujieleza ulivyo utasikika tu hamna neno.
  5. jamesmalwa

    Natafuta mke wa kuishi naye

    Mimi ni Director of Programs kwenye NGO inayofahamika ulimwenguni, Kwa sasa ni PHD fellow nina miaka miwili nina soma PHD yangu. nina mashamba na nina nyumba tatu nimejenga za kukidhi mahitaji ya familia mjini Arusha zote nimepangisha ya nne ndio naishi mwenyewe na mama yangu, nataka kujenga...
  6. jamesmalwa

    Natafuta mke wa kuishi naye

    Nahitaji mke wa kuishi naye, awe ana kazi yake nzuri, awe na cheo kikubwa kazini kwake kuanzia Manager, Director wa kampuni au shirika yaani NGO au Civil Society, umri kuanzia miaka 30-40 na awe anamiliki biashara kubwa, akinizidi umri kama miaka 2 sio mbaya ni kati ya umri taja hapo...
  7. jamesmalwa

    Mwanamke, Kama unataka ndoa imara olewa na mwanaume kama baba yako...!

    Mh hawa ma Miss wa Bongo watakubali kweli? kuna mmoja tu kanijibu eti mimi ni mzee nlishangaa yeye ana umri wa miaka 33 mimi nina 38 uzee uko wapi hapo.
  8. jamesmalwa

    Zitto Kabwe: Msiwaamini wanasiasa, chama tawala wala wapinzani

    Mnamkumbuka Mh. WALID KABUR aliye wahi kuwa Kiongozi wa Chadema Mkoani Kigoma ambaye sasa yupo CCM? tahadhari huku anakoelekea huyu mheshimiwa ndo kule kule. Kumbukeni kauli ya Chama cha mapinduzi kuwa wata hakikisha wana sambaratisha chama pinzania. Angalieni Gemu, siamini kuwa zitto ameamua...
Back
Top Bottom