Utajua mwenyewe we tulia dawa ikuingie ukikombolewa ndo utahoji si mmezoea maisha ya kulamba watu miguu siku iende Chadema kazi ni moja kukukomboa wewe usiyejijua uliyeelemewa na mizigo chadema itakupumzisha lakini km dhambi zako ni nyekundu hapo ndo utatuambia kwa nn ni nyekundu.
Acha kudanganya watu wewe,Zito hajasaidia chochote uliza watu wa mwanza upate habari kamili maana Zito kipindi cha kuelekea kampeni alikuwa Mwanza na ratiba ilikuwa anaenda kuhutubia mkutano mabatini dakika za mwisho kwenda mkutanoni akabadili ratiba akasema anaenda Musoma na baadae ilibainika...
Hapana sio kuwa matusi yamehalalishwa swala ni vp Makonda katukana watu hadharani hajachukuliwa hatua yoyote au tuseme alikuwa kwenye mlengo wa kisiasa? But km ni hivyo hawa ni viongozi wa madhehebu na Pengo hajashitaki popote kasema amemsamehe vp kwanini Makonda nae asishughulikiwe maana hata...
Zito nitamuona mpizani km atajikita zaidi kuelimisha wananchi elimu ya uraia na wajiandikishe kwenye daftari la kudumu la wapiga kura but sio kuingia kurumbana na vyama vingine vya upinzani mbaya wo ni Ccm ko watuelimishe kuhusu madudu ya Ccm cha kushangaza Ccm ndo wanaratibu mikutano yake bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.