Kumbuka mtu anayebaki kwenye historia na aliyebaki na maisha yaliyopo asiwiwe na mambo mengine ya baadae basi mtu huyo ajue hawezi pata maendeleo kama wewe, kumbuka phylosophers wengi wamepita lakini bado tumeainisha mapungufu yao sasa sembuse baba wa taifa yeye? dont be stugnant in idiology
Kumbuka mtu anayebaki kwenye historia na aliyebaki na maisha yaliyopo aiwiwe mambo mengine ya baadae basi mtu huyo ajue hawezi pata maendeleo kama wewe, kumbuka phylosophers wengi wamepita lakini bado tumeainisha mapungufu yao sasa sembuse baba wa taifa? Y yeye dont be stugnant in idiology
Wahitimu wa shahada na stashahada ya kilimo wamekuwa na uhakika kuhusu kuajiriwa na serikali, lakini wengi wamekuwa na shaka na pia kukosa uhakika sana kuhusu hizo ajira na isitoshe wameshindwa kujiajiri kutokana na kukosa mitaji.
Lakini langu ni kuomba tuchangie hapa. SERIKALI IMEKUWA NA DENI...
Jamani naomba tusaidiane, kwa nafasi za ajira zilizotangazwa na serikali mwaka 2013 katka sekta ya kilimo zina ukweli wowote manake tangu mwaka 2012 hawajaajiri tu. Je na deni kubwa la nchi, na maandalizi makubwa ya kampeni zangazi mbalimbali serikalini, mnadhani kuna kuajiliwa hapa? Nasi...
Ki ukweli, bila wanaume wasichana bikra wangekuwepo wengi sana, na pia bila wanaume na ushawishi wa fedha, chips kuku, na kuwanunulia nguo basi hao tunaowaita wanawake vicheche wasingekuwepo na pia ubakaji na mapenzi ya kulazimisha basi wasichana mabikra wangekuwepo wengi sana, HIVO NAOMBA...
Ah! Asanteni wote masela kwa story mbalimbali kuhusu mwanamke wa bukoba, Je? Katerero haiwezekani kwa wanawake wengine mbali na wahaya? Tafadhali naomba msaada kwa wanaojua jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.