Habari ya wakati wakuu, natumai mnaendelea vyema.
Tangu jamiiforum kuzuiwa, hii ni post yangu ya kwanza, Hivyo napenda kutumia mda huu kutoa pole kwa wale wote walio kumbwa na majanga ya October 29, 2025. Wapo walio poteza wapendwa wao/ walio poteza mali, kikubwa Mwenyezi Mungu azidi...