Recent content by JamboJema

  1. JamboJema

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi wa habari: CUF sio tu imefanya kosa, imefanya kosa kubwa kisiasa

    Denis denny na ndo sababu ameileta humu kwani ni kwamba simu ilikatwa. Ingekuwa aliikata hamu ya mwandishi humu usingemuona
  2. JamboJema

    JamiiForums Tanzania Maswali magumu kuhusu kifo cha polisi

    Pasco kanena vyema. Matukio mengine taarifa inatoka ndani ya saa, hii ni siku kadhaa, kujipanga?!!
  3. JamboJema

    JamiiForums Tanzania Maswali magumu kuhusu kifo cha polisi

    Yako wapi sasa?
  4. JamboJema

    JamiiForums Tanzania Naomba Ufafanuzi Mwigulu Nchemba kuvaa sare za jeshi la Polisi

    ....kina Masanja walihojiwa kwa hili
  5. JamboJema

    JamiiForums Tanzania Lowassa amezuiwa na Jeshi la Polisi kufanya kikao Rujewa

    Sijui hata nimesoma kitu gani kwenye post hii. Naomba nisi- comment
  6. JamboJema

    JamiiForums Tanzania Nimemisi ziara za kushitukiza za Rais; zimeishia wapi?

    Tunashtukizia kwenye UKUTA
  7. JamboJema

    JamiiForums Tanzania Taarifa kutoka ubalozi wa Marekani nchini Tanzania kuhusu operesheni UKUTA

    Una maneno yenye kuudhi wengine huku yakituchekesha watazamaji. Kula 'like' sio kwa kuunga mkono ila kwa kuniongezea siku za kuishi naturally.
  8. JamboJema

    JamiiForums Tanzania Chato kuna Trafic lights, kwanini miji mingine isiwekwe?

    Nani kasema hakuna taa? Zipo ila alopost anataka ku portray kuwa zimewekwa kwenye barabara ya vumbi. Huu ni uongo ambao kama kweli umepita na ukawa makini picha hii imechezewa. Nipo Chato kwa zaidi ya miezi mitatu sasa. Nipo, sijapita
  9. JamboJema

    JamiiForums Tanzania Mzee Jumbe ausia asizikwe Kiserikali

    Kwahiyo hakuna mapumziko?
  10. JamboJema

    JamiiForums Tanzania Hongera Yericko: Ikulu ihamishwe ndani ya miezi 18

    Ulizisikia sababu alizozitoa au unabishana tu?
  11. JamboJema

    JamiiForums Tanzania Kigoma: Waliosimamishwa na Waziri mkuu walirudishwa kazini

    Aliyewasamehe ni Zito au kamati ya madiwani? Mbona maamuzi ya wengi tunayafanya yaonekane ni ya mtu mmoja? Kama Zito aliwaburuza madiwani wote basi mliokota magalasa
  12. JamboJema

    JamiiForums Tanzania Serikali yaibwaga CHADEMA katazo la kufanya maandamano na mikutano ya kisiasa

    Kila kitu kinawezekana
  13. JamboJema

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Chato: Serikali yatangaza tenda

    Safi sana
  14. JamboJema

    JamiiForums Tanzania Namtabiria mkuu Mwigulu kuandaliwa kumrithi mtukufu wetu

    Msituchafulie mawe na barabara zetu tena...
  15. JamboJema

    JamiiForums Tanzania Mh Rais, achia pesa tunakufa njaa mitaani huku

    Kuna mwanamziki(?!) mmoja aliimba 'Magu waoneshe maujuzi, si walikuchagua wenyewe..... Vunja hata ikulu...
Back
Top Bottom