Nawasalimu wote wanajukwaa wenzangu kwanza nianze kwa masikitiko makubwa sana kwa jinsi bodi ya mikopo inavvyo tufanyia sisi watoto wa masikini. Chuo nilicho chaguliwa kinafunguliwa kuanzia jumatatu alafu mpaka hivi sasa sijajua hatma yangu kuhusiana na suala la mkopo. Nina andika haya kwa...
jifunze kutoa link vizuri link hii hapa http://www.aru.ac.tz/images/documents/pdf/adverts/CANDIDATES%20SELECTED%20FOR%20UNDERGRADUATE%20ADMISSION%202015-2016.pdf
Vyuo vingi sana vimekwisha toa post najua tupo wengi sana tunao subiri post zao. Tafadhali naomba waziachie mapema ili sisi watoto wa masikini tujue tunajipanga vipi? Mnatuacha na mawazo sana kwa sababu hatujui hatma yetu mpaka sasa. Tunaomba mtukumbuke jamani kama wapo wahusika nina imani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.