Nilivyo maliza tuu kuisoma hii Tred yako... Mamaaee... Nimeenda futa na ku'block namba ya mtu!... Niliyekutana naeee siku ya 1 na kuniomba elf 50 kisa anadaiwa.... PUMBAVUUUU...
Unaonekana Unamvutooo na Traakoo la haja Maana Mumeo, Boss, na mwenye Nyumba wanataka... Kampee Dadadekiii wakome kukufahamu..... xafiii xana KIVURUGEEE
Weee jichanganyeee tuu Huwajui hawa wanawake eeh! ..!? Hata uchebe alikua hivyo anapewa kila kitu lakini Nusura auwe kilimkuta... Usije ukarudi unalia lia maliza mwenyew huko huko...
Kwa kua watu tuko Tofauti... Ila me ningewafanyia unyama wa kisasa kama wao Unawato***ba wote wawili ishi nao kwa akili mtoto wako azaliwe salama! .... Maana hakuna namna utakonda bule na kugawa mali kizembeeee #*[emoji466]#Kuwa mnya na Wew Broo##
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.