Siwalaumu mwanza ila kuna kamchezo kamechezwa bila wakina wenje kujua.mawakala wame fanya kazi nzuri sana shida imekuja kwawa gombea ubunge.angalieni malim Saifu Zanzibar kafanyaje.kakusanya matokeo yake yote kwamawakala kapiga hesabu yake kajikuta kashinda.wenje ange fanya kama huyu mzee mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.