Kwani Kilimo, Uvuvi au Afya ni mambo ya Muungano hata UKAWA wapiganie kwenye mkutano na Kikwete?. Mwandishi umesukumwa na jazba hujui hata nini unaandika kwa ukereketwa mbovu
Hongereni Wana DMV kwa kusimama kidete kupinga dhuluma ambayo hao CCM wamefundishwa kutoka nyumbani kuchakachua Uchaguzi. Msimamo huo huo kutoka na MABANGO kila kukiwa na shughuli yoyote ile
Usipotoshe Watu kwenye suala hili maana this week Watuhumiwa Yaani Tume na Wajumbe wa Board wamekaa na lawyer ili kujipanga kujibu mashtaka walioshtakiwa. Kesi iko Mahakamani usipotoshe watu
Naomba nichangie Kidogo suala hili maana Waswahili wanasema Haba na Haba hujaza kibaba. Sasa siku Wamekwenda kwenye Mwenge, kesho kaja Rais kwenye Mkoa wao watapelekwa, kaja Rais kutoka nje wajipange, Sherehe za zinazoitwa ETI za Mapinduzi na Muungano wanachezeshwa Halaiki mwezi mzima. Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.