msaada wakuu leo nime open with kwenye laptop yangu faili zoto zime zimebadilika nimejaribu ku restore setting lakini sikubahatika kusawazisha hili tatizo kama wewe unajuwa naomba unifahamishe
Ngoja Nifunguke Kwawale wanao tumia dish naamini watanielewa sana leo nime jaribu kusachi na nikabahatika kupata man u tv,eurosport news Kupitia Fr 12522h26659
Lizwa kwanini hamkurudi chadema walisema chadema tuliipa nguvu na kufanikiwa kumtoa mbunge ambae sio mtanzania niraia wa burundi naushaidi upo lakini chadema walituzodoa nasi tuna wa zodoa
ccm wajuta kumfunga maranda kwani ndie mtu pekee alie waingiza watu wengi ccm kuwatoa chadema ila baada ya kumfunga maranda wenyewe wanamwita muasisiwa yalemakundi makubwa na matawi makubwa yamerudi kuwa makundi ya siasa hasa kuipigia debe cuf daada ya kuu
Nikweli unaweza kuchakachua jinsiya kuchakachua lipia kwanza alafu chagua chanel ambayo unayo ipenda kisha chomoa kadi hapo huwezi kulipia tena subiri siku chache zijazo utafiti uongezeke tutafaha mishana
Jamani Mimi Ni Mgeni Kwenye Mtandao Kwahio Naombeni Mnifahamishe Mimi Nina account Ya Fb Lakini Tatizo Nilonalo Siwezi Ku Add My Profile Picture Naombeni Mnijuze Kwani Mkinijuza Mimi Mtakuwa Mmewajuza Wengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.