Bodi ya mikopo bado wanabip kasi ya magufuli kwa kuendeleza mazoea yale yale ungali wanajua kwamba watoto wa masikini ni wengi vyuoni tunaomba magufuli upitie bodi ya mikopo upya.
Ndugu zangu naomba muelewe kwamba rais anachokifanya ni kutengeneza mazingira rafiki kwa wawekezaji wa ndani ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakinyanyashwa na serikari na wawekezaji kutoka nje ambao wanakua na mitaji mikubwa sana. Kuhusa kudorola kwa uchumi tz hoja hiyo haina mashiko kwa sasa...
ndugu zangu wadau mlosoma mambwe secondary nawatafta tujadiriane hapa kwani chule yenu imebadilika sana na mabadiliko yenyewe ni hasi kwa maana wanafunzi wa shule yetu kwa sasa hawatambui umuhimu wa elimu . matokeo yao yanaendelea kushuka kila mwaka na mbaya zaid wengi wanaambulia zero...
Mapema mwezi wa 12 mh. naibu waziri wa tamisemi Kasimu Majaliwa aliutangazia umma kwamba ajira za walimu mwaka 2013/2014 zitatolewa mapema mwezi January.
Wahanga wa ajira hizo wamekua wakisubiri kuanzia mwez january mpaka sasa wameanza mwez mwingine hakuna tamuko au mrejesho wowote kwa umma la...
naogopa kusema kama ni siasa inaotumika kuanzisha koz mbalimbali vyuoni kwasababu kinachoangaliwa ni upana wa elimu kidunia, wataluma hawaangalii kwamba watz wanahtaji elimu gani, pamoja na hayo unapewa choice kuchagua koz unayoipenda hulazimishwi kwenda kusoma kozi fulan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.