Huyu Bollen Ngetti namfahamu sana. Ni kada mtiifu sana wa chama chakavu lakini kwenye ukweli jamaa hapepesagi macho. Naona tutasikia "si mwenzetu" au kuvuliwa uanachama. Wazalendo hawatakiwi CCM.
Zitti Kabwe ni ofisa mzuri sana wa TISS lkn hajawa mwandamizi (senior) akiwa amechukua mafunzo kule Zenji. Mbatia ni wakala wa TISS aliingizwa na Apson kuleta taarifa za upinzani akilipwa 600,000/= kwa mwezi by then, Mrema afisa mwandamizi, Mbowe ni Wakala, Slaa na Lipumba ni watumikaji wa short...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.