Ikitokea nitaongeza kasi ya ufundishaji hata weekends nitahudhuria kuwafundisha bila kuambiwa.lhkizo pia naacha niwafundishe vijana eti.mungu weka mkono yatimizwe na serikali yetu.kikwete sikiliza usikie vizuri.amen.("naas loowale orio")
Madam z kweli umjieleza vizuri nimekuelewa.mimi nipo ila elimu yangu 4m 4 nimeajiriwa na serikali mwalimu wa primary.i am 30yrs.nirushie namba zako tuongee zaidi.nibipu kwenye 0764013908 nikupigie
1,7,12 na 19 ndugu ni noma balaa mtu wangu.namba moja imenitokea live miezi 12 sijalipwa mwaka 2009 sintasahau serikalini kabisa hii ndio utawala wa ccm na kikwete.
Mimi mke wangu amejifungua watoto 2 wote sio riziki unaweza kunisaidia?1 alifariki na mwaka 1na miezi 9 mwaka 2009,wa 2 akafariki na miezi 4. Mwaka 2010.hawajaugua hata kidogo. Mpaka leo mke wangu hajapata mimba.utaweza kunisaidia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.