Salaam Wanajamvi
Mimi ni mwanafunzi wa Thaqaafa Mwanza, kiukweli waziri wa elimu namchukia Sana pamoja na baraza la elimu hiii. Ni kwa sababu ya kuharibu mfumo mzima wa elimu na kutuletea BRN Viongozi wengi unakuta wakijinadi katika majukwaa Kwamba Serikali imejenga shule maabara za kutosha...
Baada ya CCM kuwatangaza watano bora wa kuwania ngazi ya urais imekua gumzo mtaani baada ya Edward liwassa kutokuwemo kwani watu wengi walifikiri kua liwasa angekua wa kwanza kutajwa kati ya watano haoo Lakin nakishukuru chama hicho maana kumetupa mwanya mkubwa UKAWA kushinda ngazi hiyooo...
Kaka MWANZA ni kisima cha elimu
kwanza kuna mwalimu was physics a+level Tanzania nzima maarufu kama MWL.MICHAEL
PILI. **** mwalimu was biology a+level kanda ya ziwa maarufu kama MWL.TOGORAI
na mwisho kuna mwalimu wa chemistry kanda ya ziwa yote Maarufu ka MWL.YOTHAN
mlete MWANZA...
Nina D ya CIVICS
Nina D ya MATHS
Nina C ya HISTORY
Nina C ya GEOGRAPHY
Nina C ya LANGUAGE
Nina B ya BIOLOGY
Nina B ya CHEMISTRY
Nina C ya PHYSICS
Nina B ya KISWAHILI
niambie na Mimi mkuu kuhusu clinical office r
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.