"Uchaguzi utakuwa huru na haki,ole wake atakayeleta vurugu" Sasa hao walioshusha bendera wamechukuliwa hatua gani?Je zingeshushwa za ccm mamlaka husika ingeendelea kuuchuna kama ambavyo inauchuna sasa?Haya mambo yatakuja kuleta athari kubwa ktk taifa letu.TUTUMIE AKILI ZETU VIZURI.
Mkongwe Mzoefu, Hapana,jambo linalofaa ni kutumia account za makao makuu tu na si vinginevyo.Tufanye kama vile tulivyofanya kwa Lisu.Hii itawaumiza sana wasiojulikana.
Acha kuweweseka,mwambie msajili hii tabia ya ccm kutochagua mwenyekiti wa taifa haifai.Maana kila anayeshinda urais anakuwa mwenyekiti.Sasa watakaposhindwa sijuwi itakuwaje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.