Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Kama mtanzania mpenda ukweli nimefarikija kuona PCCB wakitoa taarifa kuwa bado wanaendelea na uchunguzi juu ya ubadhilifu wa bil 8 zilizotafunwa na viongozi wa Chadema.
Mbali ya hayo wamesisitiza kuwa wataendelea na uchunguzi juu ya ubadhilifu uliokuwa unafanyika kwenye mifuko ya majimbo, ambayo inasadikiwa kuwa wabunge wa upinzani wa bunge la 11 walifanya ubadhilifu.
Jambo ambalo linashangaza ni kitendo cha John Mnyika kama kiongozi wa Chadema kutoa kauli kuwa kuchunguza ubadhilifu wa mifuko ya jimbo ni sahihi lakini kuchunguza michango ya wanaCdm iliyotafunwa na viongozi wa Chadema sio sahihi. Hii kauli sio njema kabisa kwani michango iliyotafunwa na viongozi wa Chadema sio mali ya umma?
Hii ni dhahiri kuwa hapa Tanzania bado hatujapata wapinzani wa ukweli bali tuna wajaza matumbo
Mbali ya hayo wamesisitiza kuwa wataendelea na uchunguzi juu ya ubadhilifu uliokuwa unafanyika kwenye mifuko ya majimbo, ambayo inasadikiwa kuwa wabunge wa upinzani wa bunge la 11 walifanya ubadhilifu.
Jambo ambalo linashangaza ni kitendo cha John Mnyika kama kiongozi wa Chadema kutoa kauli kuwa kuchunguza ubadhilifu wa mifuko ya jimbo ni sahihi lakini kuchunguza michango ya wanaCdm iliyotafunwa na viongozi wa Chadema sio sahihi. Hii kauli sio njema kabisa kwani michango iliyotafunwa na viongozi wa Chadema sio mali ya umma?
Hii ni dhahiri kuwa hapa Tanzania bado hatujapata wapinzani wa ukweli bali tuna wajaza matumbo