Recent content by Jailer

  1. Jailer

    Asasi za Kiraia kuishtaki Tanzania kwa kutaka kujitoa kwenye itifaki ya Mahakama ya haki za binadamu Afrika

    Sasa Nchi inakuwaje Nchi bila ya Wananchi? Hao unaotaka kuwaona ni Nchi ni watumishi wetu hivyo hawana mamlaka yoyote ya kuamua mustakabal wetu bila ya ridhaa yetu.
  2. Jailer

    Askofu Mwamakula: Ole kwa Taifa lisilotenda HAKI kwa watu wake! Unamkamata mtu eti upelelezi haujakamilika karne hii?

    MTU yeyote mpenda haki huitetea bila kujali eneo alilo kuwepo, kupinga dhulma na uonevu wa aina yoyote ni sifa kuu kwa kila mpenda haki ni sifa ya kiucha mungu, na yeyote anaye tetea dhulma na uonevu ni muovu kama alivyo muovu mkuu LUCIFER
  3. Jailer

    Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula: Si haki hata kidogo kumtusi na kumdhalilisha kwa namna yoyote ile Rais Magufuli

    Tujifunze kutumia hoja katika kutofautiana na watu pasipo kutumia lugha za matusi kwa viongozi na hata watu wa kawaida na huo ndio utu. Hii ni qoute kutoka andiko la Baba Askofu aya ya tatu
  4. Jailer

    Kwanini uchaguzi wa Jimbo la Singida Mashariki ufanyike haraka haraka kinyume cha Katiba ya nchi?

    Mheshimiwa Nimrod Mkono hayupo Bungeni hata kabla Lissu hajashambuliwa na bado hayupo Bungeni baada ya Lissu kuvuliwa Ubunge, sasa huu utaratibu wako unaangalia Chama cha mbunge au muda wa kutokuwepo Bungeni kwa Mbunge husika, tufafanulie
  5. Jailer

    Tundu Lissu: Nina haki ya kugombea urais

    Mbona symptoms zote ulizozieleza zinaelekea upande ule mwingine?, kila dalili inamgusa sabuhufa na Yule mwingine asiyejulikana. Hebu nawe rudia kusoma ulichodadavua halafu kiweke kwenye mizani.
  6. Jailer

    Rais Magufuli akiri GDP kushuka yale makusanyo ni hewa, Kumbe Zitto yuko sahihi

    Makusanyo ya ndani ndio GDP yenyewe' GROSS DOMESTIC PRODUCT'
  7. Jailer

    Badala ya watumishi wachache wa umma kulazimishwa kuwa na line ya TTCL, kwanini lazima hiyo isiwe kwa wanaccm ambao ni wengi?

    Kwa hivyo CHADEMA nayo ikifanikiwa kushika Dola, wale wa CCM wazitupe line za TTCL na wanachama wa CHADEMA wahamasishwe kuzitumia hii ndio tafsiri yako ya UZALENDO kwenye kukuza makampuni ya Kitanzania - BULLSSHIT
  8. Jailer

    Ambae aliwahi kukopeshwa pesa na hawa wanaojiita Islamic bank atoe ushuhuda hapa

    Riba INA desturi ya kuongezeka kila unaopochelewa kulipa, hivyo kama ilikuwa ulipe 550 katika mkopo wa 500 ndani ya miezi 3, ikipita hiyo miezi 3 utatakiwa kulipa ziada na si 550 tena Bali itaongezeka tofauti na faida ambayo ni fixed haijali muda, hivyo tofauti ya riba na faida ni kuwa riba huwa...
  9. Jailer

    Mto Kongo na Maajabu yake

    Mtoa post kasema ni mzungu wa kwanza na sio binadamu wa kwanza kuuona huu MTO Congo
  10. Jailer

    Nimesoma Mkataba wa Wachina Bandari ya Bagamoyo, Tuna Viongozi wa Ajabu haijapata kutokea ! Tumshukuru Mungu kwa Hili

    Sasa ndio unatuanbia kitu gani? badala ya kunyofoa hata kidogo ulicho kisoma ndani ya mkataba ukatuwasilishia japo vipengere kadhaa tujue mapungufu yake unatupiga porojo na blaa blaa tu. WHAT A NONSENSE
  11. Jailer

    Forojo Ganze (Master), mchawi maarufu aliyeanzisha Mwenge wa Uhuru

    Bwana mdogo halafu ni binti wa miaka ...
  12. Jailer

    Jenerali Mabeyo(JWTZ): Wanaotaka kuvuruga amani ya nchi yetu watakiona cha mtema kuni

    Ila binge likirushiwa vikokoto tu linanuna na kupoteza mwelekeo kama taasisi inayo wakilisha wenye nchi(wana wa nchi) THE CAG REFERENCE Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom