lowasa ataongoza kwa mujibu wa katiba na sio kwa udini kumbuka serekali haina dini acheni uzushi tangazeni sera tuwaelewe sio habari za kunguni sijui kafanyaje!!!!
Mbona rais wa kenya alikuwa na kesi ICC na bado wananchi wa kenya walimpa kura ata mim nitampa kura yangu Lowasa ili apambane na huu mfumo ulio kuwepo wana tupotezea muda na huyo Dr silaa na hyo Richmond yao Tunamtka Rais makini mwenye mabadiliko sio propaganda ya richmond
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.