Recent content by jahnblaze

  1. J

    Matusi, vioja, hadaa, na vitisho katika kampeni za CCM

    Makufuli kashaanza kutudanganya alisema atatumia chopa katk mikutano ata tumia gari hilo limemshinda anajipyaaaaaaa hapa lowasa
  2. J

    Dk. Magufuli msituadhibu

    Mabadiliko kwanza kazi baadae
  3. J

    Makubwa ya Lowassa

    safii kwa uchambuz wako
  4. J

    VIDEO: Lowassa awataka Walutheri wampe Kura nyingi awe Rais wa kwanza Mlutheri

    lowasa ataongoza kwa mujibu wa katiba na sio kwa udini kumbuka serekali haina dini acheni uzushi tangazeni sera tuwaelewe sio habari za kunguni sijui kafanyaje!!!!
  5. J

    Lowassa asema atapunguza mshahara wa Rais toka milioni 400 kwa mwezi hadi milioni mbili

    Duuu mshahara ninoma akiistaff je analipwa ngapi sasa jmn c ndio maana nchi inakuwa haina kitu
  6. J

    Magufuli ni bora kuliko wagombea wote wa urais

    Awezi kuwa bora kwa uhuo mfumo ulio kuwepo wa ccm
  7. J

    Kwanini "ushahidi" wa Dr. Slaa na Dr. Mwakyembe usitumiwe kumfikisha Lowassa mahakamani?

    Mbona rais wa kenya alikuwa na kesi ICC na bado wananchi wa kenya walimpa kura ata mim nitampa kura yangu Lowasa ili apambane na huu mfumo ulio kuwepo wana tupotezea muda na huyo Dr silaa na hyo Richmond yao Tunamtka Rais makini mwenye mabadiliko sio propaganda ya richmond
  8. J

    TBC1 warudia tena press ya Dr. Slaa

    waweke na matangazo ktk mitaa hatubadiliki ktk mabadiliko
  9. J

    Mapokezi ya Lowassa na UKAWA Sumbawanga - Tarehe 02 Septemba, 2015

    muhadilifu gani hyo makufuli anatoa ahadi hewa serekali yake imeshindwa yeye atafanya miujiza gani? bora hyo mnaedai fisadi
  10. J

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    wew wa ajabu kweli kwa lipi ssa sababu zake hazina mashiko ata yeye alivyokatwa ccm alihamia cdm akapokelewa
Back
Top Bottom