Recent content by Jah bless

  1. Jah bless

    Serikali iwe makini sana. Isizalishe waasi au magaidi nchini

    Nadhani Mwenyezi Mungu Ameruhusu haya matukio yatokee ili hata wale (wachache) ambao bado walikuwa na imani na sympathy kwa mgombea wao na chama chao waweze kuona rangi halisi za viongozi wao ili Yeye (Mungu) Akiingilia kati kusiwe na manung’uniko. Wananchi timamu wameshtushwa na kuguswa na damu...
  2. Jah bless

    David Kafulila: 35% tu ya kipato Cha mwanaume kinafika nyumbani tofauti na 90% ya Mwanamke

    Inaongea nini hii kasongo??! Takwimu za amerika zinahusiana vipi na sisi?? Kulikua na uhitaji gani wa hiyo ‘post’?
  3. Jah bless

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Dah nmb mambo mukidee!! Kwanza kujipongeza aisee😎
  4. Jah bless

    Lindi mbona pamepoa sana jamani?

    Ndio mzee, pia ndipo imejengwa hospital ya Rufaa ya mkoa. Pia itajengwa stendi kuu ya mabasi na soko kuu.
  5. Jah bless

    Lindi mbona pamepoa sana jamani?

    Kabisa, inabidi ujihadhari pia ubebe vilainishi na kinga japo wanawake wengi huku hawapendi kutumia kinga.
  6. Jah bless

    Lindi mbona pamepoa sana jamani?

    Amina mkuu[emoji1531][emoji1545]
  7. Jah bless

    Lindi mbona pamepoa sana jamani?

    Mitwero mzee, ndio mji mpya unaoandaliwa.
  8. Jah bless

    Lindi mbona pamepoa sana jamani?

    Code tena mzee, ulizia grm panafahamika vizuri tu. Okay sikia Kama una upwiru, nenda zako pale chagua pozi zuri agiza. Hao wahudumu ndio vipoozeo, chagua anayekupendeza ishi nae. Au unaweza kwenda Paris(ulizia boda akupeleke) pia kuna watoto safi kabisa. Paris kuna bar na night club, zipo...
  9. Jah bless

    Lindi mbona pamepoa sana jamani?

    HIV ipo kila mahali sheikh
  10. Jah bless

    Lindi mbona pamepoa sana jamani?

    Sogea GRM Pamekaa kiofsa sana. Kitimoto, mbuzi choma and everything vipo. Mazaga ulimi wako na wepesi wako tu. Wepesi namaanisha pesa. Nipo k’masoko nazichanga, next week narudi lindi mc. Karibu lindi mji wa matumizi aka Paris.
  11. Jah bless

    Ku-ghost Mpenzi wako ni tabia ya kuzaliwa au hali inayotengenezwa?

    Nadhani hii itakua moja ya effects za kuwa na uhusiano wa kimapenzi na ‘single mother’. Binafsi Nimepitia hali Kama yako (mtoa uzi) na bado naendelea nayo ingawa napambana kuiacha hii tabia ya ku’ghost raia hasa wapenzi wangu. Nilimzimia single mother mmoja aloo alikua perfect match na ana...
  12. Jah bless

    Jinsi ya kunywa bia

    Jina lake tu miyeyusho
  13. Jah bless

    Jinsi ya kunywa bia

    Bright future [emoji1]
  14. Jah bless

    Jinsi ya kunywa bia

    Mwaga kidogo tu mkuu[emoji1787]
  15. Jah bless

    Jinsi ya kunywa bia

    Shukrani mkuu, mfano umegonga hizo hein 20.. asubuhi unakuaje? Naskia zipo kama juisi ya Apple
Back
Top Bottom