Waelevu wa mambo, wajinga na wapumbavu wote utawakuta jf . Ff haina ubaguzi ndio maana kila mtu anaandika anachotaka hata kama ni uzushi, uwongo, umbea na fitina zote utazipata. Kikao cha ikulu kilikuwa ni siri we umbea huu uliutoa wap. Usiwe mnafiki ndugu.
wana forum msijadili mambo kwa kuegemea upande mmoja hebu tujaribu kuwa fair . mimi naona kilichoandikwa na mtanzania ni cha kweli kabisa. kama tulivyomuamini bashe alipomtaja membe sakata la kubanda basi tuamini kile kilichoandikwa na gazeti la mtanzania ni sahihi. kwanza hebu fikiri pale zito...
unafikiri kwa kutumia ile kitu aliyosema didas masaburi au. mbona husomeki .tanzania kwanza mtwara baadae. achana na mawazo ya sera za ukanda na ukabila.kama unaweza washawishi watu wa mtwara wajitangazie uhuru wao kama alivyofanya joshua nassari alipotangaza kujitenga kwa sehemu ya kaskazin mwa...
Ni kweli kabisa chadema inamkosea heshima ndugu zito. Ila tatizo ni moja ambalo ndg zito hajatambua kuwa hakuna democracy ndani ya chadema kama huna uhusiano wa damu na mbowe, slaa, na edwin mtei labda kwa ushauri zito angetangazia nia katika chama cha adm
kama dk slaa amekili anamiliki kadi ya ccm kweli huyo ni mamruki ndio maana alishindwa kupinga matokeo ya uchaguzi uliopita. wanachadema wenzangu tumfukuze huyo hatufai.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.