Recent content by jagirango

  1. J

    Aunt Ezekiel: Mvuto wa kipekee

    Ni muonekano wa kujifariji uliofunikwa na ukungu wa kufikiri wenye mwanga wa muda na sehemu anayotazama tu,kwani umechangia vipi kubadilisha jamii au wasichana wenzake kubadilika kimaendeleo au kuinua sehemu ya uchumi wa tanzania
  2. J

    Duni: Kuandikisha Wapiga Kura Idd ni Kuvunja Katiba!

    Tatizo siyo kuandikisha siku ya sikuku tatizo ni maudhui ya kufanya kitendo hicho siku ya sikukuu ndio kinaweza kuhalalisha uhalali wa tukio lenyewe,Je,ni wananchi wanaolalamika kuwa wanalazimishwa kujiandisha siku ya sikuku au viongozi wanaofanya maoni kuwa hoja za wananchi?, Umuhimu wa...
Back
Top Bottom