Njia nzuri ya viongozi wa kiafrika kujiuzulu inayojulikana ni Israel mtoa roho achukue chake, haya mengine kwao ni mapya na wanaendelea kuyastaajabu.
Yani anawaza "ajiuzulu aende wapi, na cheo amuachie nani na ili iweje halafu yeye afanye nini.........!"
Wakati mgumu upi wakati Kila kitu alikijua kabla.....!
Ni kama watanzania tulishaamua kuwa wajinga na ujinga wenyewe ukaamua kufanya makazi ya milele Kwa vichwa vyetu.
Act wamepatwa nini wakati ni project kama zilivyo project zingine za watu kupiga fedha.....!
Tanzania imejaa vyama vya siasa hewa kuanzia CCM na vijakazi vyake.
Ukiishi kwa ufadhili ndo matikeo hayo,
Yeye hataki ila joka la kiwavi jeshi linataka ili kuiimbia Dunia kuwa uchaguzi ulikuwa na washiriki wengi. Kiwavi anaendesha kampeni ya vyama 15 mwaka huu, kila chama kitapewa magari na fedha kuzunguka nchi nzima na ulinzi wa kutosha.
Ukimwangalia Lema kwa matendo unaweza kuamini ni mpinzani na mbeba maono lakini ukijua kundi analolitumikia Wala huwezi kupata wasiwasi kwa sababu anakuwa na taarifa sahihi za kilicho pangwa kikapangika kikisubiri utekelezaji tu.
Na vyama vya upinzani vikiendelea kumuamuni na kumuingiza kwenye...
Nchi imejaa wahuni kila Kona, si kwenye siasa, makanisani, misikitini, kwenye utendaji na Kila sehemu na Inavyoonekana Kwa sasa uhuni ndio mtindo wa maisha unaolipa kuliko chochote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.