Duuu kweli siasa kazi na hasa inapokuwa siasa BH uchwara!
Mh rais kaagiza vitanda na wote tumeona hali ya muhimbili ilivyo.bajeti yetu haijitoshelezi,ni tegemezi kwa wafadhili,wasipotoa hela mambo hayaendi.maana ya hapa kazi tu ni kutufanya tuwe na uwezo wa kujitegemea wenyewe;fumbuka n thamin...
Sina hakika na mtazamo wako.lazima tukiri kuwa kilichowaangusha ukawa ni kimteua Lowasa kugombea urais.watu wote wenye akili wanajua Lowasa hakuwa na ajenda yoyote ya mabadiliko.hata angeshinda urais acngekuwa nalolote linalohusu kuibadlisha nchi hii.aliondoka ccm baada ya jitihada zake zote...
viongozi wetu ni aibu kwa taifa na kwa kweli ni janga la kitaifa.kumsema bwana mkubwa kwao ni dhambi kubwa kuliko kuwaacha walalahoi wakitaabika.alinza barabara wakati ule hata bunge lilikuwa halijaidhinisha bajeti,amekuja stand kuu ya mabasi na sasa bandari.nasikia wapambe wake pia wanasema...
....yule Imamu wa Pakistani aliweka vipisi vya qurani kwa yule mkristo akijidai kuwa "Hii ndiyo njia sahihi ya kuwamaliza Wakristo"na Huyu bila hata kujali madhara yatakayotokana na mchezo wake wa kijinga anastahili kuwajibishwa kama muuaji.
Ni kweli Mungu katupa akili na nguvu na uelewa zaidi lakini Yesu alimuuliza Petro"unadhani baba angu ameshindwa kunipigania mpaka ukamkata mtu sikio"?Mungu hapiganiwi hivyo anapiganiwa kwa kuhakikisha The Heart is Freed from all evils and hatred,na huo ndo msingi wa Dini yetu isio mfano!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.