Recent content by jade

  1. J

    JamiiForums Tanzania Pembe za ndovu za zaidi ya Sh Milioni 800 toka Dar zakamatwa Uswisi

    duh! inasikitisha na inahuzunisha.nchi imekua nchi ya wachache kufaidi while majority are suffering.wake up my fellows its time for change.in the near future watoto wetu watapata tabu mara mbili ya hapa coz resources zitakua zimekwisha.jmn october tufanye maamuzi sahihi
  2. J

    JamiiForums Tanzania Katika wale Majambazi waliodakwa, mmoja katoka kuvisha Pete ya uchumba

    mmmmh! dada huna mume hapo.ngashtuka Mungu kakuonyesha mapema.
  3. J

    JamiiForums Tanzania Najuta kuoa mwanamke mwenye mtoto

    pole sana kaka.kwa ushauri wangu sioni km ni sahihi kumuacha mkeo kwa kunogewa na penzi jipya.una uhakika gani km huyo mpya uliyempata hatakuja badilika na kuwa tatizo zaidi ya mke wako??.kaa chini na mkeo mpe masharti kuwa km ataendelea kuwa na mahusiano na ex wake ajue ndoa utavunja.na pili...
Back
Top Bottom