Recent content by jacquejaytee

  1. jacquejaytee

    Natafuta trainer/mwalimu wa uhasibu(mfunga mahesabu proffesional)aliyeko Dar

    Kichwa cha habari chahusika. -Naomba msaada kwa mtu mwenye uzoefu wa kufunga mahesabu kitaalam,anayejua kutumia accounting packages na kila kinachohusiana na uhasibu kimatendo ( practically) -Awe anaishi dar -Mwanafunzi ni mhitimu wa chuo anahitaji kujibrush kuhusu uhasibu kimatendo/kiuhalisia...
  2. jacquejaytee

    Nini chanzo na tiba ya maumivu ya misuli ya miguu (muscle cramps)?

    Habari wanajukwaa, Nina mzazi wangu mwenye umri wa 57 y.o anasumbuliwa sana na tatizo la misuli ya miguu kuuma yaan inakaza na kuachia kwa muda mrefu na hali hii humtokea mara nyingi jioni kuanzia saa moja mpka usingizi utakapo mchukua. Ni hali inayojirudia kila siku mpaka imefikia hatua...
  3. jacquejaytee

    Namtafutia mwanangu nafasi ya form one 2025 mikoa ya mwanza Geita Shinyanga Simiyu Mara

    Kuna shule ipo SHINYANGA inaitwa Savannah plains ni nzuri inacheck all the boxes umeweka hapo kasoro moja tu la ADA ,kwao ada ni 3.780.000 per year lakini unaweza kulipa kwa muhula 945k ! For more info check nao wapo instagram savannahplains_tz You’re welcome
  4. jacquejaytee

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa kigamboni kisarawe ii-sqm 838-mil20

    Hapana hakina hati, ila nilishaanza mchakato
  5. jacquejaytee

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa kigamboni kisarawe ii-sqm 838-mil20

    Habari za wakati huu wana jamvi,ninauza kiwanja kigamboni maeneo ya kisarawe 2 chenye ukubwa wa sqm 838,kipo dakika chache kutoka barabara kubwa ya kibada-mwasonga,(dakika 5 kutoka kiwanja cha mpira cha yanga na TFF) Hakina mgogoro wowote na hakina dalali, nicheki direct 0715002270! Bei mil 20
  6. jacquejaytee

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa kigamboni kisarawe ii-sqm 838-mil20

    Habari za wakati huu wana jamvi,Ninauza kiwanja maeneo ya kigamboni kisarawe 2 chenye ukubwa wa sqm 838 kipo mita chache sana kutoka barabara kubwa (dakika 5 kutoka uwanja wa mpira cha Yanga & TFF) Hakina mgogoro wote na hakina dalali, nicheki direct 0715002270! Bei ni milioni 20.
  7. jacquejaytee

    Naomba kuelimishwa juu ya risiti za EFD

    Okay, asante kwa mchango wako
  8. jacquejaytee

    Naomba kuelimishwa juu ya risiti za EFD

    Okay.Asante kwa ufafanuzi huu! Iko tricky kwelikweli
  9. jacquejaytee

    Naomba kuelimishwa juu ya risiti za EFD

    Habarini za wakati huu. Mwenye uelewa wa kwanini wafanyabiashara wengi wakienda kununua bidhaa maduka ya jumla wanapenda kwenye zile risiti za manunuzi zitumike TIN NUMBER ZAO, naomba anielezee kwa Kiswahili chepesi ili nielewe nini maana yake na nini faida zake na pengine ata hasara zake...
  10. jacquejaytee

    Ukinunua gari na muda wote unaendesha kwa kuwaza mafuta yaliyotumika safarini, basi wewe ni bora ukapaki

    Ndugu zangu, habarini za wakati huu Natumaini mpo salama. Leo nalileta kwenu wazo langu /mtazamo wangu juu ya kumiliki gari! Dhumuni mojawapo la kununua gari ni kukuwezesha wewe mtumiaji kupata utulivu wa kutafakari ama kujadili jambo lingine linalo kuhusu. Sasa ukiona umenunua gari na muda...
  11. jacquejaytee

    Car4Sale Suzuki splash [emoji97] iko sokoni

    BEI 11.8 MIL [emoji336]0715002270 SUZUKI SPLASH (DQX)[emoji91][emoji91] YEAR 2008 Cc 1240 [emoji736][emoji184] MILEAGE 129,000km ENGINE K 12 B FUEL PETROL [emoji618]️ TRANS,AUTOMATIC NEW TYRES REVERSE CAMERA FULL AC🧊[emoji3587][emoji3063] FULL DOCUMENT [emoji94][emoji94] HAINA KIPENGELE GARI NI...
  12. jacquejaytee

    Wapi anapatikana Daktari Mzuri wa Watoto?

    Anapatikana kkoo maeneo gani? Huna jina la hospitali au mtaa?
Back
Top Bottom