Recent content by Jacqo

  1. Jacqo

    UTUMISHI TOENI MATOKEO YETU YA TOKA FEBRUARY 2018

    Ni kweli kuna database but at least kwenu mwezi wa 12, wa kwanza then wa pili mkajua hatma yenu almost miezi mitatu kamili au kasoro Sisi mwezi wa 2,3,4 na KESHO tunaanza mwezi wa 5 in which we think it is not normal, kada zingine wanapita mwezi wa 3 wa 2 tuliofanya nao kada tofauti, unaenda...
  2. Jacqo

    UTUMISHI TOENI MATOKEO YETU YA TOKA FEBRUARY 2018

    Sisi wadau tuliofanya usaili kuanzia tarehe 15 mpaka 19 February kupitia utumishi kwa ofisi za OSHA, MSD na TCRA tunaomba utumishi mtoe matokeo yetu kwani inaenda miezi mitatu sasa majibu hakuna Kada zingine zinapita kama TBC matokeo mmetoa kama mmeyafuta mtuambie, au kama mmetumia njia...
  3. Jacqo

    Wizara: Ni sahihi kuchoma vifaranga na utaratibu unatambulika kimataifa, yarusha lawama kwa waliosambaza picha

    Hata kama sheria zipo na wako sawa vipi kuhusu mahusiano ya kidiplomasia wanafikiria hayo Kuna wakati maswala yanayohusu nchi mbili kwa afya ya mahusiano inabidi diplomasia itumike, sheria tunaweka pembeni kwanza maana sisi ni majirani Leo kwako kesho kwangu Hii ya kuchoma moto hadharani...
  4. Jacqo

    Nyalandu, Msigwa na Lembeli ni utatu mtakatifu kwa maslahi binafsi?

    Mimi huwa nashangaa sana hawa watu wakiwa ccm wanaonekana muhimu na bora sana ila wakitoka tu ndiyo mafile yao ya kuonekana hawafai yanaachiwa wakati walikuwa nao ndani wakiwapigia makofi Basi kwa tabia hii kwenye hicho chama wote wachafu sana kama hamuamini subiri siku wakitoka mtaona...
  5. Jacqo

    Magufuli unatushangaza, reli ya mwisho kujengwa ilikuwa kutoka Manyoni kwenda Singida mwaka 1985 na sio 1905

    Mimi huwa mda mwingine napata shida sana na sisi watanzania, hivi katika yote aliyoongea Mh rais hilo tu ndo umenasa? Rais siyo malaika kwamba apatie kila kitu ila kama unatakwimu sahihi unaweza mkumbusha kwa lengo la kujenga si kumuomesha kuwa anapotosha tunajenga boma moja ndugu Rais wetu...
  6. Jacqo

    niende tra au nifanyaje wakuu?

    Kamanda huko private co. wengi wamepitia hhao hawana shukrani one mistake one goal still access ya kugrow ni ndogo sana hakuna siku watakwambia chukua likizo kasome zaidi, na kuna siku isiyo na jina wataondoka tu hao ,umesema bado huna majukumu sana na ajira za serikali ukishapangua ndiyo...
  7. Jacqo

    Kuporomoka Soko la Mbaazi, kwamtoa Yusuf Manji Korokoroni??

    India hata ikiwezesha wakulima wake si rahisi kwa haraka kueweza kukidhi idadi yao ya watu of about 1.3 billion people
Back
Top Bottom