UTUMISHI TOENI MATOKEO YETU YA TOKA FEBRUARY 2018

Jacqo

Member
Sep 4, 2017
7
5
Sisi wadau tuliofanya usaili kuanzia tarehe 15 mpaka 19 February kupitia utumishi kwa ofisi za OSHA, MSD na TCRA tunaomba utumishi mtoe matokeo yetu kwani inaenda miezi mitatu sasa majibu hakuna

Kada zingine zinapita kama TBC matokeo mmetoa kama mmeyafuta mtuambie, au kama mmetumia njia nyingine kuita watu bila kutumia portal yenu mtuambie tu
 
Mshapigwa kanzu.

Mkifuatilia kuulizia mtaambiwa majina ya walofaulu walipelekewa wajiri.

Hii ndio Tanzania nchi yetu.
 
Sisi wadau tuliofanya usaili kuanzia tarehe 15 mpaka 19 February kupitia utumishi kwa ofisi za OSHA, MSD na TCRA tunaomba utumishi mtoe matokeo yetu kwani inaenda miezi mitatu sasa majibu hakuna

Kada zingine zinapita kama TBC matokeo mmetoa kama mmeyafuta mtuambie, au kama mmetumia njia nyingine kuita watu bila kutumia portal yenu mtuambie tu
Tulifanya interview mwezi wa 12 matokeo yakatoka mwezi 2 mwaka huu!! Kuwa mpole!

Nikukumbishe tu, kuna "majina ya kwenye database" nayo yataitwa kazin!
 
Tulifanya interview mwezi wa 12 matokeo yakatoka mwezi 2 mwaka huu!! Kuwa mpole!

Nikukumbishe tu, kuna "majina ya kwenye database" nayo yataitwa kazin!

Ni kweli kuna database but at least kwenu mwezi wa 12, wa kwanza then wa pili mkajua hatma yenu almost miezi mitatu kamili au kasoro

Sisi mwezi wa 2,3,4 na KESHO tunaanza mwezi wa 5 in which we think it is not normal, kada zingine wanapita mwezi wa 3 wa 2 tuliofanya nao kada tofauti, unaenda miezi 4 sasa sio kawaida data base yenyewe inadumi miezi sita tu
 
Hawa jamaa wanazingua sana tu,ww February tu,sisi tulifanya December 6,hadi leo kimya sasa najiuliza huwa wanatusumbua kwann mtu unatoka mkoani unapoteza muda wako karibia siku 5 Dar halafu wanapuuza.....kama Ajira hazipo wasitusumbue kufanya interviews
 
Usikute walishazifuta hizo kazi kimyakimya maana hawachelewi
 
Tulifanya interview mwezi wa 12 matokeo yakatoka mwezi 2 mwaka huu!! Kuwa mpole!

Nikukumbishe tu, kuna "majina ya kwenye database" nayo yataitwa kazin!
Mie nilifanyaga Intewview pale mwezi wa 2,Nafasi zilikuwa 5 lakini kachaguliwa mmoja ilihali kwenye usaili tulikuwa 25 sasa cjui hapo izo nafasi 4 zilikosa wenye vigezo ama ni vipi
 
Mumeambiwa hakuna pesa za kuwalipa kwa sasa. Kuweni tu wapole hadi chungu kijae kidogo na miradi mikubwa iishe.
 
Ni kweli kuna database but at least kwenu mwezi wa 12, wa kwanza then wa pili mkajua hatma yenu almost miezi mitatu kamili au kasoro

Sisi mwezi wa 2,3,4 na KESHO tunaanza mwezi wa 5 in which we think it is not normal, kada zingine wanapita mwezi wa 3 wa 2 tuliofanya nao kada tofauti, unaenda miezi 4 sasa sio kawaida data base yenyewe inadumi miezi sita tu
Hamna cha atleast mkuu... Iko hivi...

Tulituma maombi mwezi wa tisa... Interview tukaitwa december... Alafu matokeo yakatoka mwezi wa pili... Upo hapo??

Hapo tulipoteza miezi kama mitano hivi!! Sasa hiyo atleast iko wapi??

Haya baada ya kupata kazi bado tena unachomeshwa mahindi... Hamna ela za kujikim... Miezi miwili upo tu unapiga mihayo!! Sijui umenielewa??

Haya chukua miezi mitano ongeza miwili ya kuchoma mahindi unapata mingapi??
 
Mie nilifanyaga Intewview pale mwezi wa 2,Nafasi zilikuwa 5 lakini kachaguliwa mmoja ilihali kwenye usaili tulikuwa 25 sasa cjui hapo izo nafasi 4 zilikosa wenye vigezo ama ni vipi
Mkuu jua kwa sasa serikalin pesa hakuna!! Chamsingi jua kwamba hao wanne wapo kwenye database na mda wowote watapigiwa simu!!
 
Back
Top Bottom