Recent content by jacmaggs

  1. J

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa Pumu (Bronchial Asthma): Chanzo, dalili na tiba

    Kuna dawa nilikua naletewa kutoka Tanga, ni majani ya mwarobaini yamesagwa na kua unga, unachanganya na asali kisha unakunywa kutwa mara tatu, kwa kutumia kijiko cha chakula, ilitibu pumu yangu.
  2. J

    JamiiForums Tanzania Jeshi letu linaonyesha umahiri wa kupigwa na tofali zama hizi!? Hawaoni wenzao huko duniani?

    Sasa sijui mnadhani hivi ni vifaa vya korea, muwe mnafikiria kabla ya kusema vitu...hapa ilikua ni maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika.
  3. J

    JamiiForums Tanzania Jeshi letu linaonyesha umahiri wa kupigwa na tofali zama hizi!? Hawaoni wenzao huko duniani?

    Hakuna nchi punguani itakayoweka mbinu zake za kivita hadharani, kumbuka yale ni maonesho tu sio uwanja wa vita, hivyo unakuja na vitu vya kuburudisha, kufurahisha na kuelimisha tu wananchi na kuwaongezea maarifa na si kuja na mbinu zooooote wakati sio uwanja wa vita
  4. J

    JamiiForums Tanzania Uuzaji wa vitabu mtandaoni

    .
  5. J

    JamiiForums Tanzania Kazi ya kutafsiri kitabu, msaada jamani

    2. faida za ushindani 4. vikwazo/ changamoto za kuingia/kuanza 5. faida za mmiliki 7. mtiririko wa huduma 8. Mipango madhubuti 9. faida kwa ujumla
  6. J

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa Pumu (Bronchial Asthma): Chanzo, dalili na tiba

    bado unasumbuliwa na asthma??
Back
Top Bottom