Recent content by Jacky880

  1. J

    Natafuta kazi yoyote, nimesomea Uhasibu

    Asanteee 🙏🙏
  2. J

    Natafuta kazi yoyote, nimesomea Uhasibu

    Binti wa miaka 25 elimu stashahada ya uhasibu nipo hapa kuomba ajira kwenu ndugu zangu. Sio lazima kazi nilosomea hapana kazi yoyote halali itakayoniwezesha kujikimu kimaisha. Napatikana Kibaha Mlandizi 0757854660.
  3. J

    Nina Stashahada ya Uhasibu, natafuta ajira

    Kweli aisee wengi tuna elimu hyo hvyo kupata dah bahati
  4. J

    Nina Stashahada ya Uhasibu, natafuta ajira

    Elimu ni stashahada ya uhasibu ila kazi yoyote nipo tayari naomba msaada ma boss mliopo humu Mimi binti wa miaka 25 naishi Kibaha, Pwani 0628882267 Asante!
  5. J

    Msaada: Mhasibu anayeweza kufanya kazi bila kusimamiwa anatafuta ajira

    Habari zenu wanajukwaa humu ndani Kuna watu wema sana Mimi nimefanikiwa kupitia jukwaa hili hili 🙏🙏🙏 Sasa Leo nimekuja na ombi jingine 😭 Kama wahitaji muhasibu anaeweza kazi bila kusimamiwa Kama kuandaa return za mwezi na kazi zote zihusizo uhasibu Basi tunaomba Sana ajira Kwan Kaka yangu...
  6. J

    Natafuta ajira, nina Diploma ya Uhasibu

    Mimi Ni binti wa miaka 26 jamani nipo mbele zenu kuomba msaada wa ajira elimu yangu diploma ya uhasibu naishi Kibaha pwani mkoa wowote nipo tayar kufanya 0628882267. Asanteni.
  7. J

    Nina elimu ya Stashahada ya Uhasibu, naomba ajira

    Mimi ni binti wa miaka 25 elimu yangu Diploma ya Uhasibu. Ninaomba ajira ndugu zangu Nina uzoefu na kazi hii kwa miaka 2. Naishi Kibaha Mlandizi kazi popote nipo tayari 0628882267.
Back
Top Bottom