Hatimae muigizaji maarufu wa vichekesho nchini Tanzania Ankoo Zumo anaye igiza pamoja na Familia yake yaani Mwanae Maisala na Na mke wake (Mama yake Mai)
Ambaye amejipatia umaarufu sana nchini na hata nje ya nchi hatimae hatimae ameamua kuingia kwenye tasnia ya Muziki rasmi.
Nimekuwekea hapo...
Wachina wamshangaza Magufuli, wacheza ngoma ya kisukuma
Hii imetokea wakati wa Ufunguzi wa Chuo kikuu cha DSM wakati akifungua Maktaba kubwa na ya kisasa.
Haya sasa wale wapenzi wa filamu za mapigano hii ni bonge la filamu kutoka Tanzania Kwa hali hii Tasnia ya Filamu Tanzania imeanza kuendelea.
Imechezwa na Star wa Filamu ya Ulingo wa moto ni hatari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.