Recent content by Jackson msewe

  1. J

    Nini kingetokea kama sisi binadamu tungekuwa na mkia?

    Mleta mada umenifurahisha sana na kunifanya nicheke pekeangu ofisini,Chukua like mkuu.
  2. J

    Yaliyojiri Bungeni Nov 17, 2015: Job Ndugai achaguliwa kuwa Spika wa Bunge la 11 la JMT

    Achana nae huyo mleta mada kashikiwa akili., hajitambui na hajui kama hajitambui.
  3. J

    Spika Job Ndugai, Naibu Spika Tulia Akson Mwansasu, lazima UKAWA wanyooke

    Mkuu chabruma, wewe ni mkuu wa wilaya nilitegemea mda huu ungekuwa busy ofisini kushughulikia kero za wananchi. Cha kushangaza toka juzi nakuona upo busy jamii forum kuwasema vibaya ukawa, kila kitu ukawa., au kwa vile manispaa yako yote imechukuliwa na ukawa ndo maana una bifu nao. Mwisho...
  4. J

    Check and balance kwa media zetu iko wapi?

    Naunga mkono hoja.. Star tv na chanel ten hawako fair.
  5. J

    Dr. Slaa anastahili kuheshimiwa

    Mkuu upo sahihi, binafsi sion haja ya dr.slaa kususa na mbaya zaidi kuna kipeperushi kinaitwa RAI kimekuwa mstari wa mbele kuandika habar za dr. as if wana wasiliana., ushauri wangu naomba dr. ajitokeze atoe maelezo kama n kweli kajitoa chadema tujue, .
Back
Top Bottom