Recent content by jackison gozibert

  1. jackison gozibert

    Mwenye nyumba ananidai kodi ya miezi 3, naomba mbinu za 'kumpanga'

    Achana na ubadhilifu. Kipindi unaangaika tutafuta chumba. Majumba mangapi ulipita wanakwambia chumba hakipo. Baati nzuri ukakipata kwa mwanamke je? Kwanini usimlipe pesa zake. Na ukiangalia vijana wanakosa vyumba vya kupanga kwa tatizo hilo jitaidi uondoe sifa mbaya kwa vijana wote.
  2. jackison gozibert

    Hi

    Karibu sana hapa ni kwako
  3. jackison gozibert

    Me ni mgeni wenu kuanzia leo nitakuwa mwenyeji.

    Mmhh. Me ni mtu mzima ninaye jielewa. Nina miaka 23 napenda sana matani, jokes, matusi ya kumanisha sitaki. Napenda sana kuwa marafiki wanao jieshimu. Napenda sana kuwa na mchumba ndo ndoto yangu aswa. Fest of All(ushirikiano, ushauri, nk ni muimu sana kwenye maisha yetu)
  4. jackison gozibert

    Me ni mgeni wenu kuanzia leo nitakuwa mwenyeji.

    Ansante Nokia katochi. Tuko pamoja
  5. jackison gozibert

    Me ni mgeni wenu kuanzia leo nitakuwa mwenyeji.

    [emoji38] [emoji38] [emoji38] mnataka kukaribisha chura
  6. jackison gozibert

    Picha za wanawake wa mkoani

    Da! Wana mapozi ya kila langi[emoji38] [emoji38] [emoji38]
  7. jackison gozibert

    Kwani lazima mvae hizi chupi?

    [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] noma sana[emoji85]
  8. jackison gozibert

    Kwani lazima mvae hizi chupi?

    Ha haaaa[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] acha kuchekesha nyie
  9. jackison gozibert

    Swali: Je, umeshawahi kumkimbia mtu baada ya kumkuta ndivyo sivyo? (with updates)

    Mmhhh Demiss we ukoje labuda maana da! Unanifanya nicheke mpaka kuvunjika mbavu.
  10. jackison gozibert

    Habari zenu

    [emoji38] [emoji38] [emoji38] Ansante
  11. jackison gozibert

    Habari zenu

    Ni nzuri sana
  12. jackison gozibert

    Me ni mgeni wenu kuanzia leo nitakuwa mwenyeji.

    Siijui mnanikaribisha kiaje.
Back
Top Bottom