Cha ajabu yule bwana mswahili swahili na mlezi wa masnake snake na jopo lake lote wataonekana wasafi sana kuliko yule kipenzi cha wananzengo! Wakati wanatesa Kwa zamu wananzengo wanateseka Kwa zamu!! And this is Nyerere land
Unamaanisha kuturudisha nyuma kupi? Au kule ambako hakukuwa na mgao wa umeme?
Kule ambako maji kwa watanzania haikuwa anasa?
Kule ambako Miundombinu ilijengwa Kwa faida ya watz na wewe ukiwemo? Au unamaanisha nyuma ipi mkuu?
Anayeona huu utawala ni mzuri ni either ananufaika nao au ana upungufu wa akili au ni kaunafiki tu kamemuingia. Maana Karne hii umeme kuwa kama anasa ni uzandiki,. Huduma mhuimu kama maji kukosekana. Kupanda kwa bei ya vitu maradufu ya ilivokuwa enzi za JPM. Kusimamia Kwa miradi mikubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.