Unatuma meseji asubuhi inajibiwa usiku saa mbili pamoja na kuagwa usiku mwema,ukipiga simu utasikia Subiri ntakupigia ndo hadi kesho hiyo tena nimtafute Mimi,,Ila akitaka mambo yake natafutwa vizuri kuanzia asubuh na maneno matam nikimpa mzigo nakua tena ghosted!!aisee niliteseka sana mahusiano...
Inawezekana mimi nimewahi kukaa mwaka mzima ila sio kwamba niliamua tu nilipigwa tukio zito 😀tatizo litakuja ukiamua kuja kwenye mahusiano Tena utaona kama kila mtu anakudanganya tu unaweza jikuta unarudi tena kuna single 😅
Yeah nilikua napenda kuandika tangu nasoma aiseee hizo diaries zangu za shule ya msingi na sec ninazo japo zimechakaa😅😅!!kuchora its a good hobbie ivi unaweza kujifunza kuchora kama mtu hujui??
Kiufupi my hobbies are kula,kukaa peke yangu,singing,writing Nina Kama diary nne hivi zimejaa 😀,,kupika,movies hasa horror movies na action and reading books!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.