Recent content by Jack Lee

  1. Jack Lee

    Jihadhari na makampuni ya Kitanzania yanayoagiza magari

    Nani ajui lolote? Mambo ya odometer yote ni yakukoteza tu lengo nikuchafua watu fulani ili watu fulani wafanye kazi ukiombwa ushahidi makampuni ya wazawa wakishu hizo km utweza kuuleta hapa je hawa Be forward na SBT unaukikagani kama awashushi hizo km?
  2. Jack Lee

    Jihadhari na makampuni ya Kitanzania yanayoagiza magari

    Hapa sijaona kampuni yoyote ya wabongo zaidi ya porojo makampuni yote Dunia yana majina sijaona jina hata moja la kampuni inayoshutimiwa kufanya utapeli, mleta mada ametumwa na Be forward na SBT kuchafua makampun ya wazawa kwaujila kidogo nanyie mnaingia kwenye mtego na kukandamiza nduguzenu...
  3. Jack Lee

    Jihadhari na makampuni ya Kitanzania yanayoagiza magari

    Mkuu umechambua vizuri sana tatizo uelewa wa mswahili zero umepoteza muda wako mswahili hataki kujifunza kitu kipya ndio maana wanatapeliwa SBT na Beforward ni makampuni ya Wahindi na wapakistani sio Wajapan ndio maana wanauza magari mabovu miezi mitatu gari chalii alafu mswahili anajiona...
  4. Jack Lee

    Uliza Chochote Kuhusu Magari ya Mitsubishis Fuso Canter Pamoja na Spare zake

    Mkuu Canter zipo jumla ngapi? ziko wapi Japan au Dar?
  5. Jack Lee

    Uzi wa vitu feki tulivyonunua. Tunataka wengine wasinunue. Tupia picha

    Mnapenda mtelemko mkiletewa vitu og umnaleta ujuaji
  6. Jack Lee

    Biashara gani naweza kufanya nikaingiza pesa nyingi kwa siku bila mtaji?

    Wana nzengo sidhani kama wanataka platform za dizani hii ,mswahili ni mtu moja wa ajabu sana anataka platform kama instagram Facebook watapeliane wee hadi akili zisogee. kinachonikera nchi hii wajinga ni wengi sana badala ya kupungua wanaongeza kila kukicha, project kama bongo sijui kama...
  7. Jack Lee

    Watanzania hawana imani na Waziri wa Nishati January Makamba, anapaswa kuachia ngazi, asipoachia Rais amuondoe

    Tatizo sio makamba tatizo ni ccm tuiondoe kwanguvu ya umma
  8. Jack Lee

    Msaada juu ya godoro lipi ninunue

    Y yote yapo unaletewa hadi chumbani kwa bei ya offa
  9. Jack Lee

    INAUZWA Godoro 6*6 inch8 linauzwa

    mattress for sale! Tunauza Magodoro! Nani akabebe kunguni mzee
  10. Jack Lee

    Plot4Sale Shamba linauzwa

    Kiwanja kinauzwa heka moja Kigamboni Mwembe Mdogo
Back
Top Bottom