Recent content by jabojabo

  1. J

    Usaili NIT

    Mbona post ya Assistant lecturer in entrepreneurship hawajaita watu mimi niliomba post hiyo
  2. J

    TANESCO, tangazeni rasmi kuwa mgao wa umeme umeanza

    Hata mbeya hakuna umeme tangu saa 12 jioni
  3. J

    UKAWA vs CCM katika urais, piga Kura hapa

    Ukawa ndio mpango mzima
  4. J

    Hakuna aliyejitokeza kuchukua fomu za Urais CHADEMA

    Fomu watu wamechukua na mimi ni mmoja ya watu waliomdhamini mtia nia wa nafasi ya urais chadema
  5. J

    LAPF waanza kuita watu kwenye interview

    Uhuni huu unaita watu wengi post 4 tena unakuta 2 au 3 zina wenyewe kabisa mimi siendi hiyo interview yao
  6. J

    LAPF waanza kuita watu kwenye interview

    Mimi nimepigiwa namba 0262321952 watakuwa ni LAPF kweli
  7. J

    Naombaufafanuzi kuhusu Workers' Compensation Fund (WCF)

    Huu ni mfuko ulioanzishwa na serikali kwa nia ya kulipa fidia wafanyakazi wote watakaopata kuumia eneo la kazi, waajiri wote binafisi wanachangia asilimia 1 ya mapato ya mfanyakazi kwa mwaka mzima ila kwa watumishi wa umma wanachangiwa 0.5
  8. J

    Walioitwa kazini utumishi

    Wengi huwa wanapewa 65000X7
  9. J

    Kuitwa usaili SIDO

    Samahani mwenye uwezo wa kutuwekea hapa atusaidie wengine umeme umekatika simu yangu haifungui file la pdf
  10. J

    TFDA - Food Registration Officer Interview

    Interview ni tarehe 24/01 itafanyika DUCE mimi nimeitwa nafasi ya information and education officer wamepiga simu na sms wametuma
Back
Top Bottom