Huu ni mfuko ulioanzishwa na serikali kwa nia ya kulipa fidia wafanyakazi wote watakaopata kuumia eneo la kazi, waajiri wote binafisi wanachangia asilimia 1 ya mapato ya mfanyakazi kwa mwaka mzima ila kwa watumishi wa umma wanachangiwa 0.5
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.