Changamoto zipo nyingi lakin kikubwa ni ushirikiano na wenzako. Kipindi naanza first year pale niliwahi kuambiwa na Mr. Terengia kwamba if you want to walk fast go alone, but if you want to walk a long distance go with your fellows.
In Agricultural Engineering na si kama ulivyoandika, lakin nikupongeze sana kwa kuchaguliwa SUA, karibu sana DEST, tutakuwa pamoja mm pia nipo pale naingia third year. Nipo program hiyo hiyo. Karibu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.