Recent content by Jabali Kiteto

  1. Jabali Kiteto

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nimetoka kuongea na Wilayani wamesema watalishughulikia kesho
  2. Jabali Kiteto

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Naomba msaada wenu. Nimefungiwa umeme leo. Nikinunua umeme naambiwa namba ya mita haitambuliki
  3. Jabali Kiteto

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Samahani TANESCO, Mimi Ni mteja mpya nimefungiwa umeme leo na Mradi ulitekelezwa na REA. Wenzangu wamepewa units 50 kila mmoja lakini Mimi nimepewa units 10 tu! Sababu ni Nini?! Pia naomba kujuzwa nipo kwenye daraja gani la tarrif maana kwa utofauti uliojitokeza Nina wasiwasi. Namba ya meter ni...
  4. Jabali Kiteto

    Aibu ya pombe

    Mtu anaomba kupewa mbinu za kuacha pombe nyie mnabaki kumwambia "acha pombe,"
  5. Jabali Kiteto

    Hongera Sana Mahakama Ya Kenya

    Wabunge wakikata rufaa watashinda
  6. Jabali Kiteto

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    TANESCO naomba kufahamu inachukua mda gani kufungiwa umeme Tangu siku mteja amelipia. Binafsi wiki tatu zimepita toka nimelipia. Naomba kufahamu maximum huchukua mda gani kwa nyumba iliyopo ndani ya mita 20 kutoka kwenye nguzo
  7. Jabali Kiteto

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    TANESCO naomba kufahamu inachukua mda gani kufungiwa umeme Tangu siku mteja amelipia. Binafsi wiki tatu zimepita toka nimelipia. Naomba kufahamu maximum huchukua mda gani kwa nyumba iliyopo ndani ya mita 20 kutoka kwenye nguzo
  8. Jabali Kiteto

    GE2020 Ester Matiko avamiwa na Polisi, Mlinzi wake achukuliwa kama Jambazi, akimbizwa kusikojulikana

    Kwa hiyo nyumbani kwa Matiko Ni kambi la majambazi?! Utakuwa una utapiamlo wa ubongo wewe unatutafutia bann za kishenzi Kama ilivyo akili yako. Kwani Ukiwa CCM Ni Lazima ujitoe ufahamu?! Mimi Ni mwanachama hai wa CCM na sioni sababu ya kurudisha kadi Ila tarehe 28 nitawachinja kuanzia ngazi ya...
  9. Jabali Kiteto

    Mimi Ni mgeni humu. Naomba Utaratibu

    Shukran Sana. Na kwanini watu wa humu Wanapenda kuitana "mkuu"?!
Back
Top Bottom