Recent content by jaba jumah

  1. J

    Tuacheni udhalilishaji, imetosha sasa

    kwani alinyoshewa pombe au alikunywa mwenyewe tena bila aibu anawambia watu aliowazunguka amekunywa bia tena kwa kutumia kinywa chake mwenyewe sasa hapo nani alaumiwe anakunywa bia hovyo anaenda kuzungumza kwanza ajiheshimu na ache mambo ya kijinga anayofanya yeye kama kioo cha jamii anatakiwa...
  2. J

    Kupambana na Umasikini(CCM)

    Pamoja na mafanikio ya kukua kwa uchumi na ongezeko la huduma za kijamii yaliyopatikana katika kipindi hiki, bado ipo changamoto kubwa ya umasikini wa kipato na usio wa kipato. Takwimu zinaonesha kwamba asilimia 28.2 ya Watanzania ni masikini. Wengi wa wananchi ha​o wanaishi vijijini...
  3. J

    GE2015 Ilani ya CCM 2015-2020 - Uchaguzi Mkuu 2015

    Ilani hii ya CCM ni tamko maalumu kwa wapiga kura kuhusu nia ya CCM ya kuendelea kushika dola na kuwaongoza Watanzania kwa njia ya kidemokrasia, na hasa kuendelea kudumisha amani, umoja wa Kitaifa, usawa, ustawi wa wananchi, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar...
  4. J

    Serikali imepanua wigo wa uwezeshaji

    Maeneo Maalumu ya Uwekezaji: (i) Mikoa 20 imetenga Maeneo Maalumu ya Uwekezaji ili yawekewe miundombinu ya msingi itakayovutia Sekta Binafsi kujenga viwanda na kufanya biashara katika maeneo hayo; na (ii) Sheria za Maeneo Maalumu ya Uzalishaji kwa Mauzo Nje (EPZ) na Maeneo Maalumu ya Uchumi...
  5. J

    Spencer Lameck Leo Kutupa Raha ITV Habari

    acha apige ndembe muda ilaa ikifa 26/10/2015 nadhani atakuwa ashapata ajibu la uhakika,,wanao mtumia wa mtumie muda ili ikifa huo muda atulie kabisa na uandishi wake feki wa habari
  6. J

    Spencer Lameck Leo Kutupa Raha ITV Habari

    Mtangazaji kama huyu hafai katika madili ya utangazaji anastahili avuliwe hicho cheo cha uandishi wa habari
  7. J

    Serikali imetenda sasa ni wakati wa Magufuli na Tanzania ya maendeleo

    Katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, serikali imepata mafanikio yafuatayo katika Sekta ya Ardhi:- (a) Utawala wa Ardhi: (i) Jumla ya vijiji 1,619 katika Halmashauri za Wilaya 37 vimepimwa; (ii) Jumla ya vijiji 5,558 vimepatiwa vyeti vya Ardhi ya Kijiji; (iii) Jumla vijiji 509 vimeandaliwa...
  8. J

    Magufuli mtu kazi tumpe kura za ndiyo

    Usafirishaji na Uchukuzi Ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya usafiri na usafirishaji umechochea kukua kwa shughuli za kiuchumi ambazo zimewezesha pia kuongeza ajira nchini. Katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, Serikali imeendelea kuwekeza kwa kiasi kikubwa katika ujenzi na ukarabati...
  9. J

    Serikali ya magufuli itatenda

    Usafiri wa Majini Kwa kushirikiana na sekta binafsi, kuendelea kuboresha huduma za uchukuzi katika Bandari za mwambao kwa kufanya yatuatayo:- (a) Kuanza ujenzi wa gati Na. 13 na 14 katika Bandari ya Dar es Salaam; (b) Kukamilisha uboreshaji wa gati Na. 1 – 7 ili kuimarisha utoaji wa huduma...
  10. J

    GE2015 Uchambuzi wa ahadi za mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John Pombe Magufuli

    Katika kipindi cha utekelezaji wa Ilani hii ya 2015–2020, Chama Cha Mapinduzi kitaielekeza Serikali kuweka nguvu kubwa katika kukamilisha utekelezaji wa Sera ya Maendeleo Endelevu ya Viwanda Awamu ya Tatu (2010–2020) ambayo malengo yake ni kuiwezesha Sekta ya Viwanda kuchangia katika kufikia...
  11. J

    GE2015 Ilani ya CCM 2015-2020 - Uchaguzi Mkuu 2015

    Katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, Serikali imeendeleza juhudi katika kuhakikisha Sekta ya Madini inachangia kikamilifu katika kukuza uchumi na ajira. Kutokana na juhudi hizo, mchango wa madini katika Pato la Taifa umeongezeka kutoka asilimia 3.3 mwaka 2010 hadi asilimia 3.5 mwaka 2014...
  12. J

    Wajasiriamali wamewezeshwa katika sekta ya madini na serikali

    Kuwawezesha wachimbaji wadogo kujiajiri kupitia sekta hii kwa kufanya yafuatayo:- (i) Kuwatambua, kuwarasimisha na kuwapatia maeneo ya uchimbaji madini; (ii) Kuwapatia ruzuku, mafunzo, teknolojia na maarifa ya kisasa kwa ajili ya kuendeleza shughuli za uchimbaji; (iii) Serikali kupitia STAMICO...
  13. J

    Kasi ya CCM haizuiliki

    Mwendo wa kampeni hapa nchini unaendelea huku vyama viwili vikipewa upatu wa kushika dola kati ya chama tawala CCM dhidi ya CHADEMA, kwa mambo yanavyo kwenda upepo umebadilika sana na kuonesha dhairi shairi kuwa mgombea wa CCM Dr John Pombe Magufuli kukubalika zaidi na watanzania kila anapopita...
  14. J

    Yaliyojiri Jijini Arusha: Mkutano wa Mgombea wa CCM, Dk. Magufuli – Oktoba 6, 2015

    Mgombea waCCM, Magufuli amendelea na zaira za kuomba kura katika mikoa ya Arusha na Kilmanjaro ambapo ameweza kuvunja ngome za CHADEMA alipokuwa Arusha ambapo wanachama marufu wa CHADEMA walirudisha kadi na kujiunga na CCM ambapo wao ndio walio muingiza Lema ubunge mwaka 2010 na kusema...
  15. J

    Serikali ya awamu ya 4 imeboresha Elimu ya Juu

    Mpango wa maendeleo ya elimu ya juu wa mwaka 2010 umeandaliwa na utekelezaji wake umechangia wanafunzi wa kidato cha sita wanaojiunga na vyuo vikuu kuongezeka kutoka wanafunzi 34,564 mwaka 2009/2010 hadi wanafunzi 40,452 mwaka 2014/2015 sawa na asilimia 14.6. utaraibu wa utoaji na urejeshwaji...
Back
Top Bottom