Vikundi vingi vya kusaidiana kwa sasa vimeamua kutumia M-Koba kama njia ya kuhifadhi pesa au kuchangisha.
Ni njia nzuri sana na yenye uwazi kwa wanachama wake.
Swala la msingi hapa ni usalama wa fedha hizi.
Kumekuwa na shida kukiwa na changamoto za miamala vodacom huwa wanasema wao ni...
Betting sio mchezo wa kila mtu, it's for gifted Only.
Kama huna akili wewe kalime mananasi kiwangwa huko.
Mimi nitaendelea kubet na watoto wangu wataenda shule tu bila tatizo.
Upo sahihi,
Mimi nilishapigwa sana hadi nilipojifunza kwamba betting inatakiwa mtaji mkubwa na nidhamu ili kutoboa .
Mimi nacheza hata odd 1.4 ila naweka pesa nyingi kwa mfano unaweza kucheza mechi moja tu odd 1.4 then unaweka 1m ukapata laki tatu baada ya Kodi.
Hiki ndio cha muhimu kabisa.
Watu wengi wanakuwa sana sana sana maana wanataka kutajirika kwa pesa ndogo sana yan MTU anaweka 10000/ ods 300 hapo probability ya kushinda ni ndogo sana sana.
Niwakumnushe kwa mfano match ya Yanga na Dodoma Jiji.
Yanga alipewa odd 1.41 lakini probability ya...
ONE PERFECT BUT VERY SENSTIVE SOLUTUON..
UKIACHWA TAFUTA REPLACEMENT CHAP HATA KAMA SIO PERFECT, NDIO NJIA RAHISI YA KUJITIBU TU.
KUNA MABINT WENGI SANA WAZURI SANA WAPO DESPERATE MTAANI WATAFUTE HAO NA WAPROMISE MAMBO MAZURI WATAKUPA LOVE UTAMSAHAU HUYO MJINGA MKOJA.
MIMI HATA WIFE AKILETA...
Suala la Mr Kuku na utapeli aliyowafanyoa Watanzania unajulikana wazi na imejadiliwa sana hapa JamiiForums.
Huyu jamaa alikamatwa na kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi na baadae akakiri na kuipa Serikali bilioni tano ajabu ni kwamba baada ya kutoka mahabusu aliendelea na biashara ile ile na...
Wadau NATAKA KUKIMBILIA BREVIS KAMA GARI YA MISHE ZA KAWAIDA HAPA MJINI NA SAFARI MARA CHACHE MKOANI.
KINACHONIFANYA NIAMUE KUNUNUA BREVIS NI BAJET YA AROUND 10M YARD,
NGUVU YA GARI SAFARINI NA COMFORTABILITY.
USHAURI TAFADHALI HASA WA KIUFUNDI .
NB. KUHUSU ULAJ WA MAFUTA SILIHESABII KAMA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.