Mkuu sometime unakuta minor features ndo zimeongezeka na mostly unakuta hauzitumii.
Ila Kwa haraka ongozeko ni fast charging 67w, camera 200p pamoja na network 5g.
Habari za JP wana JF.
Naomba kupewa muongozo wa simu na Laptop aina gani naweza pata Kwa budget ya 1.5 M Kwa vyote viwili.
Ahsante na karibu Kwa ushauri.
Cheki hii ng'ombe ndio mnasababisha kada ya elimu ionekane ya kijinga wakati nyie ndo wajinga.
Haya chukua maarifa ya Bure hapa kiazi ww
1. Usikope pesa kubwa Kwa ajili ya kujenga
2. Usikope pesa Kwa ajili ya kuanzisha biashara
Kwa kuwa una take home ya 500k
*Make saving ya 250k hadi 300k...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.