Shida ni kwamba habari nyingi anazitoa kwenye blogs ambazo azielewek kwa mfano iyo info kaitoa hapa Russian arms exports in a tailspin
Juz tu tumeona Iran has finalized arrangements for the delivery of Russian made Sukhoi SU-35 fighter jets and helicopters. Lakn apo kweny ako kablog izo...
Ko kwa maelezo yako toka mwanzo tukiya summarize ni unatuaminisha kwamba Ukraine akipewa submarine, aircraft carrier na f16 atashinda hii vita si ndyo?
Ghorofa ni makaz ya watu, the more unavozid kuyapga na kuyaangusha ndipo ata idadi ya casualties inaongezeka so Russia anajarib kupunguza ndio maana unaona kwa cku chache ambazo Israel ka declare a war tayar there is a lot of casualties, that is my point
Israel anayo authorization ya kupga chochote mbele yake kutoka UN & NATO na ndio maana unaona anaangusha mjengo mzma bila kujali casualties kwa upande Russia situation iko tofaut akifanya vile zile kelele za human rights zitakua nyingi na NATO watapata sabab ya ku attack Russia
Mbona kama hii conflict ya Hamas vs Israel ni faida sana kwa NATO na US kwa sababu walikuwa wanapigika sana kule Ukraine na media nyingi now zimefocus kwenye hii conflict na kutusahaulisha yale ya Ukraine ya kulalamika kuishiwa ammunitions
Kwa milioni 20 ni ela nzuri zaidi katika biashara ya mazao lakini msimu wa mavuno kwa mikoa mingi umeshapita. Unaweza kutafuta eneo zuri lenye tija na kuanza biashara ya matofali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.