Nahitaji mojawapo ya simu hizo, iwe mpya au used but isiwe na scratches kabisa. Iwe full box. Budget yangu kwa iPhone 6 ni tsh 850,000, iPhone 6+ ni tsh 950,000.
Muuzaji tuwasiliane kwa 0683411370, au through pm
Kwa wale watumiaji wa airtel, pata kifurushi cha bei nafuu kukidhi mahitaji yako ya internet. Kwa tsh 1000 tu, utapata dk 60 za kupiga airtel kwenda airtel, sms bila kikomo, pamoja na internet 1.2gb ya kutumia kwa masaa 48 (siku mbili). Kama uko interested nichek kwa sms au watsap at 0682411370...
Kwa wale watumiaji wa airtel, pata kifurushi cha bei nafuu kukidhi mahitaji yako ya internet. Kwa tsh 1000 tu, utapata dk 60 za kupiga airtel kwenda airtel, sms bila kikomo, pamoja na internet 1.2gb ya kutumia kwa masaa 48 (siku mbili). Kama uko interested nichek kwa sms au watsap at 0682411370...
Hapana mkuu, umehisi vibaya tu. Nimeelezea kuhusu arsenal na man u, kwa sababu kwa namna mgawanyo ulivyokuwa arsenal alitakiwa kuapa zaidi ya man u. Lakini sio maneno yangu mkuu, hii habari nimeitoa kwenye website ya mirror...for reference jaribu kuchek Premier League prize money: QPR earn £2m...
Bodi ya premier league ya UK imetoa taarifa juu ya mgawanyo wa mapato kwa timu 20 zilishoshiriki ligi hiyo kwa msimu wa 2014/2015. Jumla ya £1.6 bn ziligawanywa kwa timu hizo ambapo Chelsea ndiyo ilipata pesa nyingi zaidi
Katika mgawanyo huo Chelsea ndiyo iliyoongoza kwa kupata £98,999,554...
Nataka kuziuza hapa dsm. Tatizo ni source ya kuzipata, kuna mdau alinishauri south africa au nairobi, mwingine akaniambia china. Nataka kudeal na original smartphones, japo mtaji ni mdogo, nikianza na simu chache kadhaa itakuwa vizuri.
Wanajukwaa nimekuwa nikitamani kufanya biashara ya simu used (smartphones). Nina mtaji mdogo milioni mbili, naomba wenye uzoefu na biashara hii wanipe ushauri juu ya upatikanaji wa hizo bidhaa, pia juu ya changamoto mbalimbali za hii biashara.
Naomba mawazo yenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.